Huu uzi ni wakushonea viazi vitokavyo Mbeya vifikapo mjini basi kila mmoja husau kufingashio na kukidhamini kilichopo ndani....
Mawazo yake ayana tofauti na dada yako Mange
Itakuaje tukimuona Babaeni Lissu ikiwa na matamanio ya madaraka 2025. Mnyika atatumbia nn? Au ndo atatengeneze chama chake...
Mnaitaji muda kujinadi tena katika masoko makubwa ya siasa Kama haya..
mnavoongoa na kutembea kwenu mnaonekana ni wana wa Yuda....😂😂😂
Ulafi wa madaraka, autumuacha mtu salama....
Atuitaji ukarasa mpya tunachoutaji ni kazi na wala si Lissu kuanzisha kurasa mpya, kwani kila mmoja ataanzisha kurasa zake upya juu ya kupambana na ujinga na upumbuvu uliwajaa wenye matamanio ya kupiga madili.
Wew ni mfano wa ng’ombe wa kijiji kila mmoja ata kukamua ukikatisha juu ya macho yao.
Brother kunivitu vingi vya kufanya kabra aujumuamini mpita njia tena uliekutana nae kwenye kiza kinene, mkisindikizwa na pombe za kutoka ughaibuni kwa jina la vijana wa tips wanaita (import)...
Pole na karibu...
MKAZO:
Wasanii: sioni sababu ya kuzunguka na chama, Kutumia gharama nyingi kuwalipa n.k
Kama chama pinzani kingebeba wasanii maarufu naamini ma mia na mia ya watu wangejitokeza..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.