Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Ndugu John John Mnyika ni aina ya watu na kiongozi ambaye kama Taifa tunamhitaji sana (itikadi, mambo binafsi pembeni).
Kijana huyu ni mtu wa kuandaliwa, kufundishwa, kuelekezwa, kutiwa moyo, kutunzwa vema, ndio na kuombewa; ili siku moja alitumikie Taifa letu Tanzania katika nafasi ile, kwa kadiri ya kipawa, tabia, moyo na uwezo mkubwa wa uongozi Mwenyezi Mungu aliomkirimia. Huyo atalitoa Taifa hili hapa tulipokwama na kutupeleka mahali pa juu na bora kuliko wote waliomtangulia. Sio ndoto, ni maono halisi.
John Mnyika ni hazina na tunu ya kiongozi. Tumuombee afya njema na maandalizi mema ya kuja kulitumikia Taifa letu kwenye ngazi stahiki ya juu.
Kijana huyu ni mtu wa kuandaliwa, kufundishwa, kuelekezwa, kutiwa moyo, kutunzwa vema, ndio na kuombewa; ili siku moja alitumikie Taifa letu Tanzania katika nafasi ile, kwa kadiri ya kipawa, tabia, moyo na uwezo mkubwa wa uongozi Mwenyezi Mungu aliomkirimia. Huyo atalitoa Taifa hili hapa tulipokwama na kutupeleka mahali pa juu na bora kuliko wote waliomtangulia. Sio ndoto, ni maono halisi.
John Mnyika ni hazina na tunu ya kiongozi. Tumuombee afya njema na maandalizi mema ya kuja kulitumikia Taifa letu kwenye ngazi stahiki ya juu.