Uchaguzi siyo jambo la hamasa na ushabiki kama vile ambavyo wanasiasa wanajaribu kujenga hamasa na ushabiki ili kuwatoa watu katika hoja .
Uchaguzi ni jambo la kimaendeleo hivyo halipaswi kufanywa kishabiki na kwa hamasa kama linavyoanyika kwa sasa.
Nianze na CCM yangu kwanini mnabeba wasanii ktk mikutano ya kampeni?
Hii maana yake ni kwamba mnataka kutumia umaarufu na ngekewa za wasanii kuwalaghai wapiga kura , hili ni kosa bali jambo linapaswa kujengewa hoja, uchaguzi na kampeni siyo harusi kwamba yahitaji mziki na burudani bali ni shughuli ya maendeleo inayotakiwa kupewa uzito zaidi ya Tume ya makinikia.
CCM msifanye mzaha na uchaguzi , Jengeni hoja ambazo zitaibua fikra chanya kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.
Tanzania ni mali ya watanzania wote, ccm kuondoka madarakani siyo mwisho wa Tanzania, Changes is universal priniples, duniani kote mabadiliko yanatokea, Tangu kale tawala zilianguka na maisha yakaendelea vizuri.
Mfano, Russia ya zamani enzi za Tzar Nicholaus II, China chini king chiang Kai shek alianguka na china ikaendelea vzr sana.
CCM acheni kuwapotosha watu kuwa chadema ametumwa na mabeberu.
Mabeberu ni akina nani?
Siyo wale mlioingia nao biashara ya kununua ndege, siyo wale wanaokupeni mabilion kwa ajili ya maendeleo?
Uchaguzi ni jambo la kimaendeleo hivyo halipaswi kufanywa kishabiki na kwa hamasa kama linavyoanyika kwa sasa.
Nianze na CCM yangu kwanini mnabeba wasanii ktk mikutano ya kampeni?
Hii maana yake ni kwamba mnataka kutumia umaarufu na ngekewa za wasanii kuwalaghai wapiga kura , hili ni kosa bali jambo linapaswa kujengewa hoja, uchaguzi na kampeni siyo harusi kwamba yahitaji mziki na burudani bali ni shughuli ya maendeleo inayotakiwa kupewa uzito zaidi ya Tume ya makinikia.
CCM msifanye mzaha na uchaguzi , Jengeni hoja ambazo zitaibua fikra chanya kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.
Tanzania ni mali ya watanzania wote, ccm kuondoka madarakani siyo mwisho wa Tanzania, Changes is universal priniples, duniani kote mabadiliko yanatokea, Tangu kale tawala zilianguka na maisha yakaendelea vizuri.
Mfano, Russia ya zamani enzi za Tzar Nicholaus II, China chini king chiang Kai shek alianguka na china ikaendelea vzr sana.
CCM acheni kuwapotosha watu kuwa chadema ametumwa na mabeberu.
Mabeberu ni akina nani?
Siyo wale mlioingia nao biashara ya kununua ndege, siyo wale wanaokupeni mabilion kwa ajili ya maendeleo?