Samahani mkuu kama nitakukela,tangazo lako halihitaji kiwango cha taaluma kwa watu wanafasi ulizotangaza yaaani any person anaweza fanya,maana kama ni kidato cha NNE kwa sasa ni wengi mno,pili nafasi zenyewe ni mbili tu,hivi kweli hapo unapoishi umekosa vijana wawili Wa kuchukua hizo nafasi,vipi majirani zako umeshindwa kuwafuata,au watoto Wa Dada,kaka,mjomba nk?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.