Recent content by Ramadhani Mchinjita

  1. R

    Waalimu mnakera sana!

    Mtoa post umekosea tena sana kwa walimu" ungejaribu kuwasema waajiriwa wengine mf ,,,,,,,,,,,,,,,,,, ungepata wengi wa Ku share na ku like"
  2. R

    Adui wa Saddam Hussein ajutia alichokifanya

    Hongera kwa kujitotekeza hadharani na kusema hayo ila pole kwa kuondokewa na ndugu zako 15, ila mpo wengi mliofurahia vifo vya Saddam na hata Gaddaf lakini sasa cha moto mnakiona na nakuombeeni kwa mungu muwe na maisha marefu!!!!
  3. R

    Leo saa 09:43 mchana wa tarehe 8/6/17 bandarini Dar es salaam kuna meli 13

    Umeambiwa Dar es salaam kuna meli 13, mwengine anasema Mombasa ahahaaaaa sasa chanzo kimezungumzia Dar na sio Mombasa!!!!!
  4. R

    Pointi 3 za Fifa ziwapi?

    Fifa wameshauri pointi Tatu ziende kwa Simba ila zitumike kwa msimu ujao wa ligi 2017/2018 ,
  5. R

    Sitarudia kuitetea tena CCM. Nimechoka

    Mwanachama maslahi wewe,!!!
  6. R

    Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito

    Km ni mapenzi mazito angeonyesha kwa mke wake na familia yake "Aibu tyuu!!!
  7. R

    Mdogo wangu aikosa ndoa kisa michirizi

    Usione vigumu kusema "MUACHE AENDE ZAKE"
Back
Top Bottom