Pointi 3 za Fifa ziwapi?

eddy brown

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
414
310
Najua ligi imeisha ila pointi zetu vipi? Tupeni jibu kwani watani zetu wanazidi kutubeza.Hans Pop ulisema unazifata,je imekuaje? Tupeni jibu ili na si tuongee.
 
Najua ligi imeisha ila pointi zetu vipi? Tupeni jibu kwani watani zetu wanazidi kutubeza.Hans Pop ulisema unazifata,je imekuaje? Tupeni jibu ili na si tuongee.
Mbona majibu yalishatoka muda mrefu sana na barua kutoka Fifa iliwekwa wazi humu jf. Ni kwamba FIFA walijibu kuwa maamuzi yaliyofanywa na bodi ya TFF yabaki kama ilivyo.
 
Mkuu hatuna imani na waliofatilia, vipi mdau tukuchangie uende kuzifuatilia nini maana naona una uzalendo sana na timu yetu.
Hahahahahahahahaha.
 
Ile Barua haikuwa feki
Ilikuwa ni kupoza moto tu. Mpira ni uwanjani sio mezani
 
Yaani kina Pope wamejichotea m30 na ushee kwa uongo wa gharama za rufaa. Hakuna rufaa yoyote iliyokatwa enyi mbumbumbu fc
 
Najua ligi imeisha ila pointi zetu vipi? Tupeni jibu kwani watani zetu wanazidi kutubeza.Hans Pop ulisema unazifata,je imekuaje? Tupeni jibu ili na si tuongee.
Kwa sasa Hanspope anashughulikia suala la Mbaraka Yusuph kule FIFA hayo ya pointi tatu imeshakuwa historia na michango inahitajika ili kupata nauli ya kwenda na kurudi Zurich
 
Back
Top Bottom