Ndio, ni vimatone tu ndio vinatesa wake za watu, wanahama majumbani kwao, wako radhi washinde kwa nabii wampikie wamfulie, wampe kila kitu kuliko mume na ukiwaonya ni wakali balaa!! Wanaamini kwamba wanamtumikia Mungu. Ni hatareee!! Ndio maana niko huru sitaki imani yoyote ila najua Mungu wa...
Mkuu hongera kwa kuiona movie, umeona jinsi hata ya namna alivyokufa!! Alijizidishia mafuta watu wakamtamani mpaka wakamla nyama akaisha!! Sasa unaambiwa yale matone machache yaliyobaki baada ya kuchupa kile kuvunjika, ndio manabii hadi leo wanachanganya na maji wanawarushia wafuasi wanakuwa...
Hata uki Google itakujia, movie inayohusu mtoto mmoja alizaliwa kibahati mbaya na mama muuza samaki akataka kumuua kwa kumtupa kwenye mabaki ya magamba ya samaki ili aliwe na mapaka au mbwa lakini dogo akalia kwa sauti akaokolewa na walinzi wa soko la samaki, mama yake akakamatwa akanyongwa...
Ukitaka kujua kuwa hawa manabii yale mafuta ni ya nguvu za giza, na yana uwezo wa kumfanya mtu yoyote kugeuka zuzu, itafute movie inayoitwa "The perfume" utajua nguvu ya giza iliyopo nyuma ya mafuta ya upako. Kifupi ni uchawi mtupu!! We itafute hiyo movie, utakuja kusema kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.