We nae punguza kupost upuuzi na pumba humu
Vyama vikubwa vya kisiasa duniani huko kama Democratic Party, Republicans vya USA, CDU ya Germany nk vyote hufanya fund-raising
Msingi wa hivi vyama ni wanachama, na wanachama wapo wa kila aina Wafanyakazi, wafanyabiashara, wakulima, matajiri, masikini nk
Hao wote kila mmoja kwa nafasi yake ana haki kikatiba kushiriki ktk ujenzi wa chama chake.
Chadema kafanya tonetone, join the chai nk, alishachangiwa mpaka na matajiri wakubwa kina Mustafa Sabodo Tsh 100ml
Lakn leo CCM kufanya harámbee imekuwa nongwa
Rubbish & purely idiot..!!