Tujiamini wa TZ....na tuwe wakweli, hivi kweli kiubinadamu unaweza kumkabidhi mtoto wako kwa mtu amlinde ,AHAHAKIKISHE YUKO SALAMA KIAFYA, asifanyiwe vitendo vya zinaa, apikiwe yeye na familia, mfuliwe nguo, nyumba isafishwe, wengine mpaka gari ioshwe, pasi zipigwe nguo, wakati mwingine na...