Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,642
- 68,583
Kisa nin?Ungejua kulala silali hata kula sili tangu mwezi wa tatu mwaka huu tarehe 17
Kisa nin?Ungejua kulala silali hata kula sili tangu mwezi wa tatu mwaka huu tarehe 17
nimekubali...ili tuelewana na umsaidie.Maana kumbe umeona hata yeye angekosea basi mpe uhuru....😂😂😂😂 We jamaa una hoja nyepesi sana. We chukua maana kuu, achana na huo uandishi wangu.
Hata yeye angeandika kiswahili hata angekosea kama mimi hapo juu, lengo lake lingefahamika tu. Na pia zote ulizotaja hapo ni sababu za mwandiko wangu mbaya.
Hii ni comment tu wala sio uzi ndgu yangu, kikubwa umeelewa.
Kumuwaza msomali wanguKisa nin?
Mmmhhh ambavyo hunipendi hivyo siku hiziKumuwaza msomali wangu
Tuelezane kwa Waziri MkuuMmmhhh ambavyo hunipendi hivyo siku hizi
🤣🤣🤣🤣🤣Do you have frog?