Makonda anatafuta Kiki,kwani hana sehemu nyingine ya kuonekania tena kwakua Bunge maalumu la katiba limekwisha na kule kidogo ndio sehemu aliokua anaonekana.Asiwaumize Vichwa
Sasa kama alikua anatoa maoni yake,ninani alikua anayasajili maoni yake?,kwa kua wajumbe wa tume wa kusanya hawakuwepo mule ndani na walikua wameshakamilisha zozi la ukusanyaji maoni na walimkabidhi yeye mwenyewe?.
Inawezekana anaugonjwa wa kusahau nini?.
Sasa naamini kua huyu Binti ndie alie mbaka mume wa Ndugu yake
Sasa huyo ni wa kumbaka kweli,mbona tayari anatembea uchi jamani?.na huu u-lokole fasheni nao!?.
Swali moja kajikanyaga lakini la pili ndio hajaligusa na ndio linamaana
Kua ktk Bajeti hii,ni kiasi gani kitakwenda kulipa madeni ya wakandarasina kipi kitabakia ilikimalize hizo kandarasi
Mnge mpa nafasi basi ya kugombea Urais
Kwetu yeye ni wakawaida tu na ndio maana anashindwa kujibu hoja za Mkosamali.
At the same time wabunge wenu wote hawana swali hata moja.ni sisi tu ndio tunao uliza.Ohooo!.. Nimejua kazi yenu na wingi wenu ni kwa ajili ya kugonga meza tu nimejua.
Alafu...
Mwambie azijibu hoja za Mkosa mali kwanza kwani Madeni ni zaidi ya bill.400
Na ilani ya uchaguzi inakwisha mwakani.
Amepangua nini sasa.hebu jibu wewe umsaidie.
CCM,waruhusiwe waje wote watatu,waimba taarabu wao wa kiume,yaani Weka mbali na Tembo,Nape mtoto wa kuasili na Msema ovyo asiejua kujenga hoja Mwigulu alafu tywashangaze.
Huyu Jamaa anafanana na jina lake ahadi za kushushwa kwa umeme tumesha zichoka sasa na kilasiku umeme unapanda bei
Watuweka siku karibu 26 bila umeme eti wanaunganisha grid ya Taifa na Gesi ili ghalama za umeme zishuke but noyhing has been done,tumemchoka huyo jamaa na ahadi zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.