Recent content by raiswenu

  1. raiswenu

    Mtaji wa biashara zangu umeanza kukua, sasa naombeni mnisaidie jambo hili

    Nenda kwenye hayo maduka, fanya windowshop, ukipendezewa na bei zao chukua contacts
  2. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Unadhani kulalamika tu inatosha? Malalamiko yetu yanabadili chochote?
  3. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Unaweza kukosoa, karibu
  4. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Hii kauli ukiambiwa na demu wako..epuka normacy bias
  5. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Kwani brother huwezi ku focus? Kwamba emoj tu zimekutoa relini. Jadili hoja zangu. Ukikosa focus ni rahisi sana mtu kuchezea akili yako. Na hii huwa inatumika sana kwenye manipulation. Focus
  6. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    🤣🤣🤣🤣 Acha kulalamika
  7. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Kwa hiyo ujumbe umeharibika kisa emoji 🤣🤣🤣🤣, unalalamikia emoji au muemojishaji? Punguzeni kulalamika
  8. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Kwani mmeanza kulalamika leo? Malalamiko yenu yalishawahi kubadilisha chochote? Hoja yangu ni kwamba " Kwa Mtanzania kulalamika ni tabia" , sehemu ya kutenda nyinyi ni kulalamika tu. Brother malalamiko hayabadilishi chochote. Mnalalamikia kila kitu.
  9. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Mimi silalamiki, ni mtazamo tu.
  10. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    No, I'm not normal 🤣🤣🤣
  11. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Mnajiringanisha na watu wenye uthubutu!!! Hao hawaishi kulalamika tu, wanafanya, nyinyi je? Malalamikia vitu ambavyo hamuwezi kuvibadilisha
  12. raiswenu

    Kauli ya Diamond katika mtazamo chanya

    Mnaambiwa mwache kulalamika mfanye kazi malalamika tena😀, mbona nyie watu hamweleweki, Kila awamu nyie ni kulalamika tu. Tukiachana na awamu ya Nyerere na Mwinyi ambayo sina kumbukumbu sahihi, awamu ya mkapa mmelalamika, awamu ya Kikwete mmelalamika, awamu ya Magufuli ndiyo...
Back
Top Bottom