Recent content by raiswenu

  1. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Isaya Yunge, kijana wa Kisukuma aliyemposa binti wa Rais Ruto wa Kenya

    Mkuu jazia nyama kidogo
  2. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Samia, Hawezi Kufanya Hayo Wanayotaka Wao

    Kwamba wakizitoa?
  3. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

    Kilanga unaharibu CV yako
  4. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Shule za serikali bado zinatuma wanafunzi kuni za kupikia!

    Unataka iweje mtoa mada? Hebu tueleze
  5. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Urusi Inawatafuta Vloggers Wote Wanaoikosoa Serikali ya Putin

    Umeenda Urusi kote huko kufanyeje
  6. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Viongozi wanapotaka watanzania wapambanie katiba mpya, wanatakiwa kupambana na nani?

    Dhidi ya AI, tusemeje sasa.
  7. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Kuna maisha baada ya kifo au tukifa ndio mwisho wa kila kitu

    Kuna maisha kabla ya maisha? Unakumbuka ulikokuwa kabla ya kuzaliwa? Kulikuwa na maisha kabla ya kuzaliwa? Kwa nini kuwe na maisha baada ya kifo? Wanyama wengine je? Au sisi ni so special? Maswali ni mengi majibu ndio hakuna
  8. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Ni sababu gani inayokufanya usipokee simu?

    Sipendi watu wasiopokea simu, kama hutaki kuongea na simu zima, au tuma sms ya excuse. ndio uungwana, huwezi kujua unaopigiwa kwa issue gani. Next time utakosa fursa, changamoto hazikimbiwi, kuikimbia changamoto nikujiweka dhaifu, kabili changamoto uimarike
  9. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Morocco walikuwa sahihi kutukana, ona tulivyoihaibisha Afrika

    Wanakera sana, utadhani wanacheza kwa maelekezo, wanacheza vizuri, dakika za mwisho wanaachia
  10. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Sijwahi kuamini kama JF kuna mwanamke ndo maana nakuwaga na machale sizamagi PM

    Anayeingia PM kutafuta mwanamke dizain kama kichwani haziko sawa!!!
  11. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa yangu kapigwa Milioni 20 na mke wake kamkimbia kamuachia manyoya

    Huyo angeweza hata kumuua, ashukuru hata kwa hilo, fedha zinatafutwa
  12. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Hizi ndo sababu 5 kwanini Telegram ni bora mara 100 kuliko WhatsApp

    Mimi siku hizi inanikatalia ku download, kwa kifupi imekuwa slow, sjui nafanyaje Ahsante sana mkuu
  13. raiswenu

    JamiiForums Tanzania Leo Shoboka kakataa kufua boxer, iko siku atatamani kumiliki dildo

    Mbona kuongea kitu cha kawaida kabisa wala sijaona baya lolote, "kwa uwekezaji ambao mzee wake amefanya katika kumsomesha hategemei awe mwanamke wa kuishia kuolewa na kufanya majukumu ya kawaida ya nyumbani, badala yake anatakiwa aende mbali zaidi" hivyo tu
Back
Top Bottom