Kuna maisha kabla ya maisha? Unakumbuka ulikokuwa kabla ya kuzaliwa? Kulikuwa na maisha kabla ya kuzaliwa? Kwa nini kuwe na maisha baada ya kifo? Wanyama wengine je? Au sisi ni so special? Maswali ni mengi majibu ndio hakuna
Sipendi watu wasiopokea simu, kama hutaki kuongea na simu zima, au tuma sms ya excuse. ndio uungwana, huwezi kujua unaopigiwa kwa issue gani. Next time utakosa fursa, changamoto hazikimbiwi, kuikimbia changamoto nikujiweka dhaifu, kabili changamoto uimarike
Mbona kuongea kitu cha kawaida kabisa wala sijaona baya lolote, "kwa uwekezaji ambao mzee wake amefanya katika kumsomesha hategemei awe mwanamke wa kuishia kuolewa na kufanya majukumu ya kawaida ya nyumbani, badala yake anatakiwa aende mbali zaidi" hivyo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.