Recent content by Rais Wa Malofa

  1. Rais Wa Malofa

    Ni lini Watanganyika tutakuwa serious na kuungana?

    Siku tukiacha unafiki yote hayo yatawezekana
  2. Rais Wa Malofa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu nahitaji huduma ya kufyatua router ya Airtel 5G SmartBox
  3. Rais Wa Malofa

    Gamondi kesho ukiendelea kusikiliza Hip Hop na kutupilia mbali wabana pua,Tabora atakuchezesha amapiano

    Kuna yule jamaa aliyetoka nguvu moja. Sijui viongozi waliona nini kwake mpaka wakamleta Jangwani.
  4. Rais Wa Malofa

    Tetesi: Kamati ya Bunge yagawanyika suala la Mpina na Bashe

    Itakuwa bei yao haijafikiwa bado. Upande ule waongeze bei jambo limalizike.
  5. Rais Wa Malofa

    Mademu wa kishua ni mzigo

    Vijana Kama nyie ni mzigo kwa Taifa in Magufuli’s voice
  6. Rais Wa Malofa

    Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

    Waachane mara ngapi [emoji3][emoji3]
  7. Rais Wa Malofa

    Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

    Vipi kuhusu uchawi masta? Hivi upo au na wenyewe ni story tu?
  8. Rais Wa Malofa

    Wakuu kuna mishangazi ina joto, asikwambie mtu

    Kama hukuchukua namba ya Simu umeizulumu saana nafsi yako boss.
  9. Rais Wa Malofa

    Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

    Unatumbukiza vidole hivi hivi vya kulia ugali?? Kuna watu mna ujasiri saana
  10. Rais Wa Malofa

    Mpenzi wangu ananitatanisha

    Mimi niliwahi achana na demu kisa amenifunga Free Kick kwenye FIFA. Hakuna namna anaweza jifunza peke yake kunifunga tokea katikati ya uwanja [emoji23][emoji23]
  11. Rais Wa Malofa

    Dark days 17/03/20

    Kurudi kwa beloved son mjini kuna tafsiri gani? Au BT ndio karusha taulo rasmi?
Back
Top Bottom