Recent content by Rais Wa Malofa

  1. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawajilindi na UKIMWI kama ilivyo kwa Wanaume

    Aisee unaweza kuta mwanamke analazimisha msitumie Condom kabisa. Hawajali afya zao wale watu.
  2. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    AI
  3. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Ni lini Watanganyika tutakuwa serious na kuungana?

    Siku tukiacha unafiki yote hayo yatawezekana
  4. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Vijana tunaoelekea uzeeni: Bongo fleva zipi zilikonga moyo wako mwanzoni mwa miaka ya 2000?

    Inaniuma Saana - Juma Nature
  5. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu nahitaji huduma ya kufyatua router ya Airtel 5G SmartBox
  6. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Gamondi kesho ukiendelea kusikiliza Hip Hop na kutupilia mbali wabana pua,Tabora atakuchezesha amapiano

    Kuna yule jamaa aliyetoka nguvu moja. Sijui viongozi waliona nini kwake mpaka wakamleta Jangwani.
  7. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kamati ya Bunge yagawanyika suala la Mpina na Bashe

    Itakuwa bei yao haijafikiwa bado. Upande ule waongeze bei jambo limalizike.
  8. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mademu wa kishua ni mzigo

    Vijana Kama nyie ni mzigo kwa Taifa in Magufuli’s voice
  9. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

    Waachane mara ngapi [emoji3][emoji3]
  10. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

    Vipi kuhusu uchawi masta? Hivi upo au na wenyewe ni story tu?
  11. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Wakuu kuna mishangazi ina joto, asikwambie mtu

    Kama hukuchukua namba ya Simu umeizulumu saana nafsi yako boss.
  12. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

    Unatumbukiza vidole hivi hivi vya kulia ugali?? Kuna watu mna ujasiri saana
  13. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ananitatanisha

    Mimi niliwahi achana na demu kisa amenifunga Free Kick kwenye FIFA. Hakuna namna anaweza jifunza peke yake kunifunga tokea katikati ya uwanja [emoji23][emoji23]
  14. Rais Wa Malofa

    JamiiForums Tanzania Ubaya na Uzuri wa gari aina ya TOYOTA ALLEX

    Used Nje miaka ya 2018.
Back
Top Bottom