Wakuu, habari.
Nahitaji kutoa lock kwenye router ya Airtel (toleo la kwanza). Kama kuna mwenye ufahamu wa jinsi ya kufanya hivyo, au anayemfahamu mtu anayeweza kunisaidia, naomba tuwasiliane kupitia PM.
Asanteni.
Ninaomba kuwasilisha malalamiko kuhusu changamoto kubwa ya huduma ya kupiga na kupokea simu (voice calls) kwenye mtandao wa Vodacom Tanzania katika eneo la Tarime, Mkoa wa Mara.
Kwa muda sasa, wateja wengi wamekuwa wakikumbana na matatizo kama simu kukatika katikati ya mazungumzo, kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.