Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,293
- 2,623
๐ฏ๏ธ Matumizi ya simu yamekua sehemu moja wapo muhimu kwenye maisha yetu lakini kuna baadhi ya simu ukitumia unajikuta unachukia kwa namna moja au nyingine na kupelekea kujuta kwanini ulinunua hii simu.
๐ List za simu hizo ๐
โ๏ธ LG G3 styuls
โ๏ธ The Nexus 6
โ๏ธ Galaxy Nexus
โ๏ธ Samsung Galaxy A04 & A04e
โ๏ธ Iphone SE 3
โ๏ธ RealMe 14x 5G
โ๏ธ Vivo v30e
โ๏ธ Samsung Galaxy M55
โ๏ธ Redmi A4 5G , Redmi Note 14 Plus
โ๏ธ Google Pixel 5a & 5
โ๏ธ Samsung Galaxy A36 5G
โ๏ธ Samsung Galaxy S25 Edge
โ๏ธ Google Pixel 9 series
๐ฏ๏ธ Simu hizo zinachangamoto kadhaa, kuanzia betri zake hazikai chaji nyingi, software zake zinasumbua update, kamera zake sio nzuri, zinapeleka chaji pole pole, zinapata sana joto , speaker zake sio nzuri nk.
๐บ Kama unahitaji kumiliki simu nzuri basi sio lazima mwaka huu ukamiliki simu hizo unaweza kuachana nazo ๐.