Recent content by Rainerius rwengagira

  1. Rainerius rwengagira

    Mzee Mkapa (RIP) aliomba Tume Huru anazawadiwa Kiwanja cha Mpira

    Uwanja Ni kitu Cha kunudumu hivyo vingine Ni upepo tu big up mh raisi Rip mpendwa wetu mkapa
  2. Rainerius rwengagira

    Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima

    Mungu mkubwa Bado kifo ni fumbo Tutafakari zaidi
  3. Rainerius rwengagira

    Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

    Arusha Kuna mahala imekwama Mwanza wa miliki wote wa mabus Ni wakazi wa mwanza . viwanda mwanza vingi Ni vya wazawa Bandari Samaki iningiza pesa nyingi Kuliko north circth parks Magari makubwa njiaani kutoka dar zaidi ya nusu Yana let's mzigo mwanza Migodi Ming na inayo zalisha IPO Kanda ya...
  4. Rainerius rwengagira

    Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

    Maaskofu wa katoriki popote walipo Mimi muamini wao mungu awabariki na familia za zibalikiwe Nawaombea maisha yangu yote pamoja na mapdre wetu .
  5. Rainerius rwengagira

    Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

    Askofu permanent job kikatoriki Ubunge Ni temporary situation Askofu is the best Ni sawa na uraisi Kuupata uaskofu Ni kazi ngumu Kama kupata uraisi
  6. Rainerius rwengagira

    Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

    Mh askofu Ni cheo Cha juu zaidi ya ubunge Ukitaka kujua mtafute askofu mstaafu Na mbunge Alie pigwa chini Pili askofu Ni mtuu anaandaliwa muda mrefu na anapimwa toka mtoto Ubunge Ni kazi ya urafiki na watu zaidi Ikitokea akagombea atakuwa ameshusha
  7. Rainerius rwengagira

    Nataka kugombea ubunge ila si mwanachama wa chama chochote

    Si uka kalime Umeisha Soma Tena elimu ya juu uzalishe ulipe Kodi Ubunge uwaachie la Saba ambao haahawa
  8. Rainerius rwengagira

    Makonda unasababisha tuichukie Taifa stars

    Tanzania ikifungwa maisha ya kila mtanzania anaumia na kufungua life span one month
  9. Rainerius rwengagira

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Most of them wanaishi kwa kulalamika Sana .at ukimsomesha atakukimbia .wanaoongaza kupotezeana muda .ukijenga nae nyumba anapambana iuweze mugawanae
Back
Top Bottom