Wakuu nataka kugombea ubunge lakini sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote kile na sina kadi ya chama chochote kile iwe chama cha kijamii au kisiasa.
Nina elimu ya Uzamili katika masuala ya kilimo
Nina miaka 30
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 5 katika sekta binafsi.
Nina kiu ya maendeleo jumuishi hasa kuwekeza katika elimu ya kilimo na kuongeza mazao thamani.
Mmbunge wetu kwa sasa ni darasa la saba ila chama sitakitaja.
Je nawezaje kugombea ubunge mwakani?
Nina elimu ya Uzamili katika masuala ya kilimo
Nina miaka 30
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 5 katika sekta binafsi.
Nina kiu ya maendeleo jumuishi hasa kuwekeza katika elimu ya kilimo na kuongeza mazao thamani.
Mmbunge wetu kwa sasa ni darasa la saba ila chama sitakitaja.
Je nawezaje kugombea ubunge mwakani?