Sasa dah?mbona nakosa amani na kuishiwa nguvu na ujasiri kiukweli kbsa?Mungu amlinde mpenzi wangu tu huko na dada zetu wengine.i hate Ccm goverment for sure.
Wadau nimejiuliza sana ila mwenywe nimeshindwa kuelewa,niambieni jamani,hivi gharama kubwa serikali ya marekani inayoingia ya kuleta watu wengi namna hii ktk hii ziara itarudi vipi hiyo pesa yao jamani?mimi kiukweli ninawasiwasi mkubwa sana tutapata matokeo yake tu.China ilikua mikataba 17 hawa...
Umekosea ndugu ktk title yako, CDM ni taacc,kuna kina Silaa wengi ambao ni majembe kuliko unavyodhani,ila kidogo nimekuelewa hunania mbaya,wewe ni mtu mzuri tu.
:yell:
Wadogozetu walomaliza kidato cha sita wamekwenda jeshini JKT laKini serikali haikutangaza wanatakiwa waende na nini huko jambo ambalo linawalazimu kujinunulua vitu vyakutumia na kama huna ndo inakula kwako,je wanafanya mambo bila kujipanga?tunapaswa kujua mahitaji ya huko ni yapi ili tuwaandalie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.