Recent content by rahim mambo

  1. R

    Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

    Nikweli kabisa nakumbuka kuna mama moja mtu mzima wakipare nilimsaidia sana kabla cjaolewa kipindi alipojifungua both financially na socially. cku ya harusi yangu kaka kuniteta kwa mdogo mamkwe wakumjua 'eti namhurumia huyu kijana huyu dada alikua nawaume wengi' na more stupid things. To hell...
  2. R

    Saa 10 Ni Saa za Mapenzi, Kama uamini huu ndio ushahidi

    Hujawahi kuchepuka ndomana. Kweli michepuko mingi huo ndo muda wao
  3. R

    Moja ya sababu za wanawake kudundwa na wanaume wao

    Huyu nae anatukana mamba kabla ajavuka mto. Ajui cc wanawaka tukiwa kwenye uchumba tunaficha kucha. Aulize wachaga wanafanya je kabla hawajaolewa
  4. R

    Leo ni mwisho kabisa nimechoka

    We utakua huna pesa. Mwanamke yeyote ambao ana mme mwenye pesa hawezi kufanya kiburi. Nahuyu jama atakua anakuzidi pesa. Kwa hivyo tafta chapa
  5. R

    Simuelewi hapokei simu yangu, akijibu message basi ni kwa kifupi

    Ulipomalizaana,nae hukumpa pesa? Kama hukumpa nyamaza. Issue sio kwa wa chagga tu cc wote wanawake tumezoe hivyo. Hatutaki majasho
  6. R

    Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

    Ila Diamond anayo dharau. Hivi Martin anajisikia je kwambiwa hawezi kununua BMW
  7. R

    Hii tabia ya wavulana ikome

    Hata juzi ilimtokea celeb wa Uganda. Na inam cost sasa. Picha zake za uchi nje nje
  8. R

    Nauza suzuki swift 1.3 mpya kutoka Japan for 9 million

    Nina tano nanusu. Namii niko A
  9. R

    Im 43,guy my age mate trying to date my daughter?????????

    Mkuki mtamu kwa nguruwe. Au akichinja Asuman inaliwa. Akichija John hailiwi. Nyie nyie mlikua mnasa asubuhi kutembea na mabinti wadogo sawa. Kwa ile post ya yule dada. Sa hv wakwako unanun'gunika. Why
  10. R

    Je waweza tambua haya ni mabishano ya nani na nani?

    Hahahaha nimeongeza cku. Ila ni nusts and bold
  11. R

    Hivi Diamond Platumz hajui kingereza au alijitoa ufahamu tu?

    What I know music is like poetry. One is free to break the rules of dat particulrar language. Aweze kuleta hisia. Its like literature. Remember the novel BEAUTYFUL ONES ARE NOT YET BORN and many others
  12. R

    Nisaidieni kumtafakari huyu mwanamke

    Nahic alipata habari zako mtaani. Labda tabia yako cio nzuri navinginevyo
  13. R

    Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

    Cku hizi wanaume wanatuonea wivu. Kwanza tumesom pili tunzo pesa tatu tunajamiini. Kwahiyo ucshangae.
  14. R

    Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

    Bigup gal. Wanaume wanapenda wanawake wakuonewa.
Back
Top Bottom