Hii tabia ya wavulana ikome

Hii tabia ya wavulana ikome

ila nadhani wengine wanatoa consent, si unajua mapenzi niondoe ufahamu!!

Labda wanaongezewa hela ili warekodiwe. Haingii akilini anarekodiwa yeye kutulia tu lazima awe amekubali kufanyiwa hivyo. Wa aina hiyo atafanyishwa na mbwa bora apate mshiko tu.
Mwenye akili timamu atakataa katakata.
 
Hata hivyo,hotel nyingi na zile lodge kalikali hapa mjini,wamefunga camera maalumu za kurecord matukio yote yanayofanyika chumbani. Na baadae baadhi zinatengenezwa DVD na kuuzwa mitaani. Hapa suluhisho ni kuachana na umalaya ili kuepuka fedheha! Ukijiachia ipo siku utanunua CD yako.

kiharage kikisimama na dushe likianza kulia hata kuwe na kamera hutajali lolote
 
Kule west africa na carrebean hali ni mbaya..vitoto vya secondary tena na uniform going freaky like never before. .
 
yani hapana penda io kabisa siku ya siku mmetibuana utajutra kumfahamu anazianika utatamani ujichimbie chini

Cha msingi ni kutunza utu wako na si kwa kushikiwa na mwingine
 
Mtu akikufanyia hivyo kill that person.
 
Siwalaumu hao wanaume wanawake ndio wakulaumiwa sababu ndio wanaruhusu kutendewa hivyo vitendo.

Wacha warekodiwe tu kwa ujinga wao.
 
New crisis of this Generation....Ema Watson star wa Harry Potter alipresent hii kitu katika UN Assembly.alisema utupu wa mwanamke ifikie kipind usiwe issue tena coz ni binadamu.
My take:kama mtu anafanya kwa uamuz wake its OK...kufanya ni public issue ndio kosa..refer to Kim Kardashian na Ray Jay.
 
Hata juzi ilimtokea celeb wa Uganda. Na inam cost sasa. Picha zake za uchi nje nje
 
wakati fulani nikiwa chuo kuna mdada moja ilimkuta hii kitu tena ilivuja mpka lectures wakaiona mdada alifukuzwa chuo kwa kutia aibu chuo jamni wadada umakini unahitajika na uwe na limits kwa mpenzi wako na uwe na msimamo mkalii
 
Hao wanaume wako possesive and insecure,kuharibia wenzao wasipate tena wenza,ni maradhi fulani ya akili....
 
Hao wadada wenyewe wanapenda kurekodiwa kama wangekuwa hawapendi hii tabia isingeendelea
 
Vp na wanawake wanaojirekodi wenyewe wakirusha rusha makalio yao?

Yes!bila shaka nawao uwa wanaitaji iyo kitu coz uwez ukaanza tu kuchukua picha then yeye katulia tu anakuangalia,sio kweli lazima upo ushilikiano pande zote kwanza hata issue yakupigwa ---- wao ndio wanaotengenezaga mazngira.
 
Back
Top Bottom