Nipo kwenye hii field ya Ufundi na unachokisema ni sahihi kabisa
Shida ni kwamba wengi wameingia huku sababu ya kukosa nafasi sehemu zingine so wanakosa ile passion na morality ya kazi,yaani ile mtu anafanya ilimradi amalize apate hela bila ya kujali matokeo ya anachokifanyq
Njia tatu maana yake ni Umeme mkubwa wa 3 phase,mara nyingi unatumika kwa wenye machine,viwanda na wenye matumizi makubwa
Nikonekt inapatikana kwenye website na sio application kwa sasa
Habari za muda huu watanzania wenzangu..Nilikua napenda kufahamu chuo gani kizuri kwa kozi ya kutengeneza vifaa vya kielectronics mfano Simu,Computer na TV,ada yake pia itakua ni kiasi gani?
Sammy Kuffor huyu mwamba sidhani kama atakuja kuisahau hiyo game....Sometimes mpira una matokeo ya kikatili nakumbuka Moscow final 2008 Man Utd vS Chelsea pale captain John Tery anakosa penalty na kuwakosesha the blues fursa ya kubeba Champions league kwa mara ya kwanza
Kwa trending lifestyles tunazoenda nazo matumizi makubwa ya vilevi,madawa,uzinzi na kila mwanamke\mwanaume anayepita mbele yako vinamaliza wengi sana...Mwenyezi Mungu anusuru kizazi hiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.