Simba, Simba, toto football kwa saaana, magoli hakuna. Hata haieleweki shida nini.
Striker hawalioni goli au…………!!! mtamlaumu Mseja tu.
Nadhani makocha kuna haja ya kubadilisha mfumo, shoo game ioneshwe baada ya kuzifumania nyavu.
Ushindi ndio muhimu.
Ila kinyume cha Upinzani huko hukuna mijitu yenye roho mbaya, wao ni malaika wote.
Akili na matope ni vitu 2 tofauti, umeshindwa kugundua hata hilo?
Nakuombea upone, vinginevyo ........
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani alichokosea mleta uzi, hakuweka neno "BAADHI YA....." ametaja kwa jumla shida ipo hapo tu, vinginevyo uzi wake una chembechembe za mantiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naongezea kidogo, wanamsifia mamba anayekula mtoto wa jirani yao, siku akiliwa mtoto wao ndo watajua kwamba mamba si mdudu rafiki kwa binadamu.
Sent from my HUAWEI G610-U20 using JamiiForums mobile app
Wanatubebesha historia ya uongo, wakidhani tunashindwa kufikiri, karne hizi si zile.
Bado hawajaelewa tu?
Sent from my HUAWEI G610-U20 using JamiiForums mobile app
Jamani wauwaji muogopeni Mungu, mnaua watu wasio na hatia, hivi mnadhani hamtaingia kwenye mikono ya dola.
Ipo siku mtajuta kwa uovu wenu mnaoufanya, dola ina mikono mirefu.
Inaonekana sasa sheria zetu hazina kazi, kila mtu ana maamuzi yake binafsi.
Ukikasirishwa fanya unachoweza, siyo?
Nadhani wapongezaji ni wahusika wenyewe wanajipigia debe kimtindo ili waongezewe sembe.
Si utaratibu mwema huo, mnapandikizi mawazo gandifu wa raia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.