Sijui mnalaana gani nyinyi.ujumbe unaoupata ni kuwa tz yaweza kuingia matatizoni watu watajua ili rais wa kenya ashinde, lazima nguvu au mchango flani utatoka tz, na hatimae kesi kama ya marekani na urusi
Kila mgombea huko Kenya anaposimama na kumwaga Sera zake na jinsi atakavyo wahudumia wakenya atakapochaguliwa baada ya uchaguzi ni lazima ajifananishe na Rais wa Tanzania Dr Magufuli Katika suala nzima la uwajibikaji bila kumuogopa yoyote.
Kila mikutano ya hadhara jina la Dr Magufuli limekuwa likitumika Katika kijinadi kwa wagombea.
Hii inatoa ishara gani kwa nchi za Africa Mashariki?
Save your energy Bro! Utakufa kwa stress bure.Marais wastaafu ??? Hawa ambao magufuli anasema walibakia kidogo tu wauze nchi???? Ama marais gani hao???? Nipe credible source ya kenya kuwa wanamkubali magufuli sio mnalazimisha hoja za kuokoteza eti PLO lUmumba!!!!who the hell is he
Waambie hao nashangaa wanahangaika na uchaguzi wa Kenya na kuleta maneno ya utata tu.oooh tz tutashitakiwa na wengine wameenda mbali zaidi eti kama Marekani na Urusi.Sijui mnalaana gani nyinyi.
Kila jambo ni kujitisha tu. Mbona hamjiamni ndan ya nchi yenu?
Uchaguzi ufanyike kenya tz ndio ishtakiwe ,, kivp?
makalio yalipoishiaMagufuli ni chaguo la Mungu.
ningemuita bora endapo angetuambia KIVUKO CHETU KIPO WAPIKiukweli tukiacha hiana MAGUFULI ni Rais bora kabisa Afrika kwa Sasa Japo kama mwanadamu ambae hajakamilika anamapungufu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
NI MAJIBU ya comment chafu inayoafanana usinuneComment isiyokuwa na staha
jinsi utavotoa comment yako na majibu yatakuja hivyohivyo.Comment isiyokuwa na staha
hawaelewi kinachoendelea Tanzania, wangekuwepo Tanzania hata siku moja wasingeendelea kulitaja hilo jina.Kila mikutano ya hadhara jina la Dr Magufuli limekuwa likitumika Katika kijinadi kwa wagombea.
Hii inatoa ishara gani kwa nchi za Africa Mashariki?
Ndo maana wanavuna walichopanda. Libya ya utawala wa gadafi huwezi kufananisha na nchi yoyote duniani. Majority wa Libya walimpenda sana ila mapadikizi ya wazungu ndo walimuua wakisaidiana nao. Jiulize je ukipewa Uhuru wa kutukana utapata huduma za jamii zinazohitajika ?Libya, Gadafi aliwapa kila kitu na nchi yao ilikuwa na maendeleo lakini Walibya wakamkataa. Ilinichukua muda kuelewa kilichowasibu Walibya. Kumbe haki ndio huinua taifa na Watawala, kumbe Walibya walikosa utawala wa sheria - Uhuru ambao ni fundamental, kuheshimika kama binadamu anayetaka kuongea juu ya machungu yake, kuongea juu ya mustakbali wa nchi yake na maisha yake.
Sidhani kama kuna mmoja wetu humu jukwaani atakubali kufungwa mdomo halafu ukafunguliwa wakati wa kula na wakati waliokufunga wanataka useme wanalotaka wao tu. Huku ndio tunakopelekwa Watanzania.
Wahenga walisema "adhabu ya kaburi aijuaye maiti".Kila mgombea huko Kenya anaposimama na kumwaga Sera zake na jinsi atakavyo wahudumia wakenya atakapochaguliwa baada ya uchaguzi ni lazima ajifananishe na Rais wa Tanzania Dr Magufuli Katika suala nzima la uwajibikaji bila kumuogopa yoyote.
Kila mikutano ya hadhara jina la Dr Magufuli limekuwa likitumika Katika kijinadi kwa wagombea.
Hii inatoa ishara gani kwa nchi za Africa Mashariki?