Recent content by raganeson

  1. R

    JamiiForums Tanzania Popote mlipo wazazi, walezi, ndugu na jamii walindeni, saidieni mabinti wa vyuo

    Ukishamnunulia hivyo vyoote anakuona kama msaada kwake,,then ataanza hitaji aje kukujulia hari kwako,,heeeee after she has come,,maaaamaaaaa,,,
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwenye Maisha hakuna aliye sahihi wala hakuna anayekosea

    Kama ndo hivo hata wewe huna unaembadirishia mtizamo wake as long as unakiri kuwa Kila mtu Aishi vile amepangiwa kuishi na mola wake,,Nature inaweza kukufanya uwe mnyonge au mwenye nguvu,,the same to Fikra,,So kama unaamini kuwa Hakuna anaekosea wala kupatia then nawewe hujapatia kutoa HII...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Ni Tanzania pekee ambapo ujinga unatetewa na kundi kubwa la watu

    Katika nchi za wasiojua hata katiba ni nini,,ukifuata katiba unaonekana ni mwendawazimu
  4. R

    JamiiForums Tanzania Usitafute pesa; ifanye Pesa ikutafute yenyewe

    Am your follower
  5. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Punguza umri wa mwanamke kuolewa + Piga marufuku muziki wa amapiano ili upunguze kasi ya maambukizi ya VVU

    Uko sahihi Kwa % kubwa,,nyimbo kama ukikutana na ex wako unampakia mkoongooo* ukipata danga la kizungu nenda nalo Kwa mparange*** hakika inaondoa maadiri kabisa ya vijana wa Sasa hasa under 24
  6. R

    JamiiForums Tanzania Nchi za kikristu zina nini kwani

    Pope siyo kiongizi wa wakristu bali ni kiongozi wa waamini wa kanisa katoliki,,,be careful
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini viongozi wa dunia wanataka kumyang'anya nguvu ya utawala mwanaume na kumpa mwanamke?

    Hakika shetani Yuko kazini,,tumuombe Sanaa,,,
  8. R

    JamiiForums Tanzania Baada ya Bucha sasa ni zamu ya Izium (Ukraine)

    Russian Ukraine war is a planned war to change the people's mindsets,,mdororo wa uchumi ulikua mkubwa due to COVID-19 effects....hii vita inaamsha akili Kwa wale wenye akili zilizolala
  9. R

    JamiiForums Tanzania George Ambangile mchambuzi bora wa 2019

    Yees,,,alikua MAGIC FM pale Sent using Jamii Forums mobile app
  10. R

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine za miwa, bakery, ice cream, pea nut, chips, juicer n.k

    Mkuu naona machine nyingi apo, ya kukamua juice ya miwa ni ipi hapo, please naitafuta xana
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mechi za fainali za makombe ya vilabu Afrika sasa mechi ni moja tu

    Nahic hiyo itapunguza figisu za waarabu na timu kubwa pindi wawapo home grounds,,, maana inafikia hatua hadi marefa wanaaogopa wakiwa kwenye grounds za viwanja hivo
  12. R

    JamiiForums Tanzania Tambua umuhimu wa mke wako

    Safi sana Mkuu,,, ni stori nzuri yenye kufundisha kwelikweli Sent using Jamii Forums mobile app
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wakuu mi natafuta ule wimbo wa kwaito ambayo watu wengi wanacheza kwa harusi, jina la wimbo Sent using Jamii Forums mobile app
  14. R

    JamiiForums Tanzania NBS kutochapisha takwimu za uchumi, mnaficha nini

    Kumbe mkuu takwimu unazo!!!!! Why then you Need them Sent using Jamii Forums mobile app
  15. R

    JamiiForums Tanzania Dunia ni gereza la roho za wafu

    Mkuu umeongea vitu vyamaana xana, it makes sense,kwa maana sometimes mtu unaweza ona, hisi kitu, afu ukahisi km ushawahi kukiona au fanya hapo kabla japo ni kwa Mara yakwanza kuexperience Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom