CCM NI IMARA MNOO TOFAUTI NA INAVYOELEZWA NA WAPINZANI DHAIFU WA NCHI HII
Wakati tunaelekea kwenye uchaguzi na baada ya uchaguzi walikua wanasema Magufuli yuko vizuri lakini tatizo Lililopo ni MFUMO.
Wakasema magufuli ndie kiongozi Sahihi wa Tanzania kwa wakati huu lakini tatizo anatoka...
WAPINZANI KUSHINDA NAFASI YA URAIS NI NDOTO
------------------------------------------------------------------------
Upinzani Tanzania ni muhimu lakini kuhusu kushinda nafasi ya urais kwenye uchaguzi halali ni ndoto isiyowezekana pengine ndoto ya upinzani kwenda magogoni iliyeyuka rasmi 25...
Kwa Mujibu wa waziri Mwakyembe
Vita ya madawa ya kulevya ni ngumu sana
Kuna kijana anaitwa NJINGU huyu alikuwa pale Airport Dar kitengo cha usalama ndiye aliyemsaidia Mwakyembe kukamata madawa ya kulevya pale uwanjani
Huyu kijana baada ya kujulikana kuwa yeye ndio mfanya mipango ya kukamata...
UJUMBE WA WAZI KWA MH RAISI JOHN JOSEPH MAGUFULI
Salam mkuu
Naandika huu ujumbe leo saa 03:07 usiku
Kabla ya yote naomba nikupongeze na kukupa pole kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuiongoza nchi yetu
Hakika kila siku zinavozidi kwenda napata amani zaidi kwamba tulipata raisi muafaka kabisa...
Kikao maalumu cha RCC mkoa wa Kigoma kimefanyika jana tar 17/ 03/2017
Kupitia kikao hicho wameonesha kwamba kwa bajeti ya mwaka wa fedha July 2017 to June 2018( financial year 2017-2018)
Mkoa wa kigoma wenye jumla ya wilaya nane utakusanya mapato ya ndani( domestic revenue) kiasi cha Tsh...
Kikao maalumu cha RCC mkoa wa Kigoma kimefanyika jana tar 17/ 03/2017
Kupitia kikao hicho wameonesha kwamba kwa bajeti ya mwaka wa fedha July 2017 to June 2018( financial year 2017-2018)
Mkoa wa kigoma wenye jumla ya wilaya nane utakusanya mapato ya ndani( domestic revenue) kiasi cha Tsh...
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakataza mtanzania yeyote yule kumiliki
uraia wa nchi mbili
Ni kosa kubwa kisheria kumiliki Hati za kusafiria(Passport) za nchi mbili tofauti
Mtanzania yeyote yule anayemiliki uraia wa nchi mbili huyo ametenda kosa la Jinai
Kama ni kweli Yusufu Manji...
ZITTO KABWE AWAAMBIE UKWELI WANANCHI WA KIGOMA MJINI KUHUSU MAMBO HAYA
Jana mbunge wa kigoma mjini na kiongozi mkuu wa chama cha act wazalendo ndugu zitto z kabwe alifanya mkutano wa hadhara katika kata ya Gungu
Na katika mkutano huo zitto alilamika sana kuhusu serikali kuu kushindwa kupeleka...
Nadhani kwa sasa Agenda kuu ya vyama vya upinzani sio katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi
Agenda kubwa walizonazo ambazo ni za muhimu sana kwa wao kwenda ikulu ni njaa na swala la vyeti feki
Endeleeni hivyo hivyo na movement ya cheti cha mtu mmoja adi ikifika 2019 ndio mtajua nini maana ya...
GWAJIMA SI MKRISTO KUWA SAFI
katika vitabu vyote vya kikristo ambavyo vimeandika kuwa unapotoa majini kwa mgonjwa sharti uyatume kwa binadamu mwenzako hakuna hicho kitu
Hakuna hata sehemu moja ya maandiko yanayosema hivyo nadhani huyu anajua anatumia nguvu za namna gani nadhani amezitoa kule...
katika vitabu vyote vya kikristo ambavyo vimeandika kuwa unapotoa majini kwa mgonjwa sharti uyatume kwa binadamu mwenzako hakuna hicho kitu
Hakuna hata sehemu moja ya maandiko yanayosema hivyo nadhani huyu anajua anatumia nguvu za namna gani nadhani amezitoa kule Nigeria
Hata Yesu Kristo...
TUNDU LISSU HAFAI KUWA RAISI WA CHAMA CHA WANASHERIA TANGANYIKA LAWYER SOCIETY (TLS)
Chama cha wanasheria Tanzania ni moja ya taasisi zinazojitegemea na zenye katiba zao na miongozo yao ambayo kimsingi na kisheria hazipaswi kuingiliwa kabisa na serikali kwa namna yeyote ile.
Katika nchi yetu...
WAPINZANI WAMEKOSA AGENDA ZA KUJENGA VYAMA VYAO
Wapinzani wa Tanzania wamekosa agenda za kisiasa ndio maana wameamua kubeba agenda za kinafiki
Leo hii wanasubiIia agenda kutoka mitandaoni ndio ziwe agenda za chama tena kwa habari za majungu na unafiki uliotukuka
Leo hii kiongozi wa agenda...
WAPINZANI WAMEKOSA AGENDA ZA KUJENGA VYAMA VYAO
Wapinzani wa Tanzania wamekosa agenda za kisiasa ndio maana wameamua kubeba agenda za kinafiki
Leo hii wanasubiIia agenda kutoka mitandaoni ndio ziwe agenda za chama tena kwa habari za majungu na unafiki uliotukuka
Leo hii kiongozi wa agenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.