Rafa kilenza
Member
- Jan 23, 2017
- 32
- 30
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakataza mtanzania yeyote yule kumiliki
uraia wa nchi mbili
Ni kosa kubwa kisheria kumiliki Hati za kusafiria(Passport) za nchi mbili tofauti
Mtanzania yeyote yule anayemiliki uraia wa nchi mbili huyo ametenda kosa la Jinai
Kama ni kweli Yusufu Manji anamiliki passport za nchi mbili tofauti hilo ni kosa kubwa sana na haitajiki kuwe na siasa katika hili
Anapaswa kulipa kodi zote kama mwekezaji wa nje na sio wa ndani kuanzia siku ya kwanza anaanza biashara hapa nchini
Anapaswa kufukuzwa nchini mara moja kwa kutenda kosa hilo
Raia wa kigeni hana haki ya kumiliki ardhi ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria ya ardhi ya mwaka 1999
Kwa hali hiyo ardhi yote anayomiliki Manji inapaswa kurudishwa serikalini mara moja na hatua za kisheria zifuatwe
Na yeyote yule aliyehusika katika kudanganya adi kumsaidia huyu mtu kupata hati ya kusafiria ya Tanzania anapaswa kuwajibika maana huu ni uzembe wa hali ya juu
Hii nchi ni yetu sote na ni lazima sasa utawala wa sheria ufuatwe
Tumuunge mkono Rais JPM katika mambo kama haya maana tulishazoea kuishi kwa mozoea
Rafa lukindo
0765499321
uraia wa nchi mbili
Ni kosa kubwa kisheria kumiliki Hati za kusafiria(Passport) za nchi mbili tofauti
Mtanzania yeyote yule anayemiliki uraia wa nchi mbili huyo ametenda kosa la Jinai
Kama ni kweli Yusufu Manji anamiliki passport za nchi mbili tofauti hilo ni kosa kubwa sana na haitajiki kuwe na siasa katika hili
Anapaswa kulipa kodi zote kama mwekezaji wa nje na sio wa ndani kuanzia siku ya kwanza anaanza biashara hapa nchini
Anapaswa kufukuzwa nchini mara moja kwa kutenda kosa hilo
Raia wa kigeni hana haki ya kumiliki ardhi ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria ya ardhi ya mwaka 1999
Kwa hali hiyo ardhi yote anayomiliki Manji inapaswa kurudishwa serikalini mara moja na hatua za kisheria zifuatwe
Na yeyote yule aliyehusika katika kudanganya adi kumsaidia huyu mtu kupata hati ya kusafiria ya Tanzania anapaswa kuwajibika maana huu ni uzembe wa hali ya juu
Hii nchi ni yetu sote na ni lazima sasa utawala wa sheria ufuatwe
Tumuunge mkono Rais JPM katika mambo kama haya maana tulishazoea kuishi kwa mozoea
Rafa lukindo
0765499321