Umeniwazisha tofaut leo.. Uliwezaje soma deploma afya after degree.. Naomba niinspae namimi aloo.. Io strength.. Pia ulisoma kwa hatua zpi.. Sorry lkn niko nje ya mada kdg
kwa wale watalaam wa ku-hack website na database naitaji msaada wenu, nahisi kuna mtu ananidokolea data zangu kupitia utaalam wa kimtandao, kwa yeyote ambae atakua tayari kunipa msaada na kunionesha ni jinsi gani imewezekana kufanyiwa ivi au kama kuna mtu anajua kuna mtaalam flani anaweza...
sasa kaka kwanini tu may be usi-think big ukaona kwamba may be huyu jamaa wakati anaandika alikua hayupo sawa just kwa sababu ya situation ilonikumba, i think ungeaniambia tu smthing ambacho kingeleta utofauti pia unikaripie kwa nlivyoandika then uniache, ulivyoniita "mpuuzi" its true kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.