Recent content by Rabi wa Leo

  1. Rabi wa Leo

    Viongozi hawa wanaisumbua CHADEMA Singida

    wanakosea sana..
  2. Rabi wa Leo

    Viongozi hawa wanaisumbua CHADEMA Singida

    Na alifukuzwa upadre.
  3. Rabi wa Leo

    Viongozi hawa wanaisumbua CHADEMA Singida

    ..................
  4. Rabi wa Leo

    Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

    Jimbo la Singida Mashariki chini ya Tundu Lissu limeshuhudia kukua kwa haraka kwa huduma nyingi za msingi kuliko wakati mwingine wowote. Ndani ya muda mfupi,tayari wananchi wanajivunia kuwa naye. Ni mojawapo kati ya majimbo ambayo CCM wanayaogopa zaidi.,ni vigumu kwao hata kufanya mkutano wa...
  5. Rabi wa Leo

    Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

    Well.,cjui unayoyaongea yanahusianaje na uzi ulioletwa. Tundu Augustino Mughwai Lissu ni mbunge wa Singida Mashariki.,Iseke ni kata iliyopo Singida Magharibi, jimbo lnaloongozwa na Missanga(CCM).. Kama unataka tuje na hoja za kuonesha maendeleo ambayo Lissu analeta Jimboni kwake,hebu anzisha uzi...
  6. Rabi wa Leo

    Mmejitahidi sana sana kumtetea BABU (Dr. Slaa), lakini...

    Ajabu kubwa ni kuwa, Nape anaendelea kuharibu ladha ya siasa hapa nchini kwa kutumia uhuru na Uongozi wake vibaya kwani hoja alizokuja nazo ni dhaifu kuliko hata chama chake na viongozi wale. Mimi si msemaji wa Dr. Slaa, wala si mtetezi wake. Lakini kwa kuwa aliyoyazungumza Nape nayaelewa...
  7. Rabi wa Leo

    Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

    Hivi usipoitaja CHADEMA "jogoo haliwiki"??? Mbona huko juu hapana yeyote aliyejitambulisha kwa chama chake zaidi yako wewe unayejipambanua kuwa mwanachama wa "CHAMA CHENU MAGUMASHI"??? Du! Chadema inakufanya vibaya.,yan usipoitaja hujickii raha kabisa.,kama wewe ni mwanasiasa makini unapaswa...
  8. Rabi wa Leo

    Udhaifu wa polisi sasa waziwazi..

    MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif amesema kuwa vurugu zilizotokea kwenye uchaguzi mdogo wa Bububu zilisababishwa na Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya SMZ, hivyo kumtaka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuchukua hatua. Source; Mwananchi.
  9. Rabi wa Leo

    Mgomo: Madaktari waiangukia serikali!

    Siamini kama madaktari hawa waligoma kwa influence ya MAT tu.,wao hawakuona upungufu ktk field yao?sababu za migomo hazikuwekwa wazi?Hazikuwa za msingi??Na kama zilikua za msingi,zimefanyiwa kazi kwa kiasi gani?La ikiwa hazkuwa za msingi,wao waligoma kwa misingi gani?
  10. Rabi wa Leo

    Mgomo: Madaktari waiangukia serikali!

    Sijaona pahala ktk tamko hilo la madaktari walipokitaja au kukigusia CHADEMA..Iweje wewe uanze kukitaja chama hata pasipohusika?Wasiwasi wangu ni kuwa,ipo siku mkeo atashindwa kupata ujauzito na utakit upia lawama CHADEMA..
  11. Rabi wa Leo

    On STAR TV: Ipi misingi ya Amani? Sehemu ya Pili

    Chama Cha Mapinduzi kinaendesha serikali yake kwa mifumo mibovu katika sekta mbalimbali na ni wazi sasa kuwa uwajibikaji sio jambo la muhimu kwao..Watendao makosa wanalindwa kwa maslahi ya nani?
  12. Rabi wa Leo

    Kauli bora zaidi za viongozi CCM..

    Hawa zilitumika gharama kubwa kuwachagua wakati wa uchaguzi,na wanapokea mishahara ktokana na rasilimali za taifa na kodi za wananchi...
  13. Rabi wa Leo

    Kauli bora zaidi za viongozi CCM..

    Zifuatazo ni baadhi tu ya kauli zilizotolewa na viongozi wa CCM kwa nyakati tofauti.Tuzipime na kuona jinsi viongozi wetu walivyo na upeo mdogo wa kufikiri.. 1.Ndege ya rais itanunuliwa hata kwa gharama ya wananchi kula nyasi - B.P.Mramba 2.Foleni Dar ni ishara ya maisha bora-JK 3.Acheni...
Back
Top Bottom