Kuna demu nlikua nampenda sana tu,hadi kufikia uamuzi wa kutaka kumuoa kabisa alichokuja Kunikera,akaanza kugongwa na ticha Fulani ivi,akaanza na kunizarau,akaniona boya,tumemaliza skuli ivi kapata taarifa niko chuo,ssa usumbufu mwingi na anaonyesha dalili zote za kwenye uzi hapo juu,eti...