Recent content by Queenever1

  1. Queenever1

    Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

    Yaani kama ulikuwepo akili kwangu,, huwa nachefukwaa,, unasikia mbona kama maji mengi kwenye ye mchele,, si usubiri kiive
  2. Queenever1

    Nini kipo nyuma ya ukuaji na ongezeko la watu wasiokuwa na dini?

    Nikiwaza siku ya mwisho matendo yetu yataoneshwa kwenye tv naishiwa nguvu
  3. Queenever1

    Askofu Gwajima awataka watu wasiingilie imani ya kanisa lake, hawachanjwi, watakaojaribu kuiingilia wataingia kwenye "crusher" watasagwa

    Nilikua muumini wake mtiifu,,Ila anachosha na anafanya mambo ya aibu.. Ibada nzima anagombana na mipasho, watu tunataka kula neno. Tunaondoka kapa,,na mbaya zaidi waumini wanamshangilia ,,anachamba ukifika muda wa sadka wanatoa anaendelea kuchamba, tunatoa sadaka baada ya kusikiliza misutano, SAD
  4. Queenever1

    Umemsave jina gani?

    Nimemsave delicious
  5. Queenever1

    Wewe una kipaji/vipaji gani?

    Nikikusimulia story, utahisi unaangalia move,, najua
  6. Queenever1

    Rachel Temu nani haswa?

    Uchi tu?? Alikua anajitia madole analamba, nilitetemeka ile siku
  7. Queenever1

    Tukumbushane kidogo misemo iliyowahi kutokea hapa nchini kwetu

    Mwendokasi, urefu wa mwendokasi, nywele za mwendokasi, nk Chura Majanga
  8. Queenever1

    Ni kwanini inakuwa vigumu watu kukubali matokeo kama wameachwa?

    Km unampenda mtu lazima utapambania penzi
  9. Queenever1

    Usilolijua kuhusu Mapenzi/Mahusiano, hisia za mapenzi kwa ujumla

    Daaah! Namimi mwendoo huohuo,leo siku ya tatu Hahahah hatari sana mkuu,ila ngoja nikuambie kitu,kipindi kama hiki kikitokea nacho kina maana yake,ni mda wa yeye kukutafakari,acha akuwaze,apate mda wa kuyafikiria ulokuwa ukimuambia,acha akumiss,ukikomalia muwasiliane ndo utaharibu...
  10. Queenever1

    Wanawake na uandishi wa meseji

    ni vizuri ila mi siwezi
Back
Top Bottom