Nilikua muumini wake mtiifu,,Ila anachosha na anafanya mambo ya aibu.. Ibada nzima anagombana na mipasho, watu tunataka kula neno. Tunaondoka kapa,,na mbaya zaidi waumini wanamshangilia ,,anachamba ukifika muda wa sadka wanatoa anaendelea kuchamba, tunatoa sadaka baada ya kusikiliza misutano, SAD
Daaah! Namimi mwendoo huohuo,leo siku ya tatu
Hahahah hatari sana mkuu,ila ngoja nikuambie kitu,kipindi kama hiki kikitokea nacho kina maana yake,ni mda wa yeye kukutafakari,acha akuwaze,apate mda wa kuyafikiria ulokuwa ukimuambia,acha akumiss,ukikomalia muwasiliane ndo utaharibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.