Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,733
Huyu siku zake zinahesabika.. Wako kimya wananuacha kwanza amalize kupayuka... Anawachokonoa kwa namna zote lakini wako kimya kabisa.... Inatia hasira sana kwake WAMEMPUUZA...NA INAMUUMIZA SANA HII
Kwa vipi?
Mnachochea kuni wapate kumdhuru?
Ikumbukwe kuwa ; penye wengi hapakosi kuwa na mengi !
Uongozi unataka kuwa na kifua cha kustahamili mengi na siyo kukimbilia visasi.
Nilizani wewe ni muumini wa demokrasia kumbe unaungamkono maswala ya komoakomoa? Au ?