Habari wapendwa kumekuwa na sintofahamu ya uvunaji miwa Kilombero, bila rushwa hutoi miwa yako na hii ni kutokana na uongozi kutokuwa na usimamizi wa kutosha hasa inapofika kipindi cha uvunaji na nimegundua wanafanya hivyo makusudi ili kuweka mianya ya rushwa kwa wakulima.
Mfano kama viongozi...
Jamani habarini kumekuwa na shida kwa baadhi ya maofisa wa NSSF kuingia ubia na waajili ya kutopeleka michango kwa wakati matokeo yake wanaoumia ni wanufaika huku mchangiaji akikosa haki zake za msingi
Kitendo hiki ni cha kinyama mfano mtu unatakiwa kupewa fao lako la uzazi lkn haki hii huwezi...
Achaga ubinafsi ndo maana wilaya haiendelei sababu ya kuwa na watu wenye mawazo finyu kama yako wageni wakija kwa wingi ndipo huwa tunapata maendeleo
Na mfumo wa maisha hubadirika jamani wageni karibu Tukuyu kupo kama Europe
Huyo wa udsm anamiliki nini sasa kama sio passo na nyumba ya vyumba vitatu wakati kuna muuza mbao la saba hakijui chuo chochote lkn account inasoma biliion
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.