queen of the jungle
JF-Expert Member
- Mar 17, 2017
- 228
- 429
Jamani habarini kumekuwa na shida kwa baadhi ya maofisa wa NSSF kuingia ubia na waajili ya kutopeleka michango kwa wakati matokeo yake wanaoumia ni wanufaika huku mchangiaji akikosa haki zake za msingi
Kitendo hiki ni cha kinyama mfano mtu unatakiwa kupewa fao lako la uzazi lkn haki hii huwezi kuipata kwa sababu michango yako hujawekewa
Tunaomba mamlaka husika iweze kutusaidia
Kitendo hiki ni cha kinyama mfano mtu unatakiwa kupewa fao lako la uzazi lkn haki hii huwezi kuipata kwa sababu michango yako hujawekewa
Tunaomba mamlaka husika iweze kutusaidia