Umeshakaa na mdada wa watu mda mlefu mpka umemzalisha unataka umuache kisa vibinti vya mtaani! y km ulikuwa humpendi ukawa unaishi nae? ushamwaribia future yake sa ivi eti humpendi! badiliken jaman.
Ndoto tu bhana me nmewahi kuota mchumba wangu amefunga ndoa tena nkakuta ndo wapo katikati ya ibada ndo wanavishana pete ila haikuwa kweli so dont worry labda mliongea mkagusia kuhusu ndoa ndo likajirudia kwemye ndoto!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.