Binti huyu ameniharibia weekend yangu!

Binti huyu ameniharibia weekend yangu!

Mkuu hadithi hii inatufundisha kua, unapoahidiana na demu Gesti, ni vyema kusubiria nje ya gesti sehemu ambayo anakuja gesti hakuoni. Asante!
 
ila kaka umefundsha wengi kwa huu mkasa wako mana kawaida kubwa ni wewe unatangulia na kumuambia dada njoo rum namba flan na sasa hvi Polisi na OFM wanavotaka umaaruf wanakuja kabsa na silaha hata kama mkasa umetokea hotelin
 
Jana jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia!

Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes,

Kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,

Lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.

Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria,

Tulipeana contact then tukaagana.

Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite"

Leo asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema leo mchana atakuwa free,

kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni.

Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja,

saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja,

Je uko chumba no ngapi?"
Nikamjibu "niko no 9"
Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom,

Ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne!

Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani!
Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi?"
nikamjibu "niko toilet nakuja"

Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri!

Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka home!
Sijui nini kiliendelea huko lakini sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu
"I'm sorry baby,sikuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawasiliana na wewe,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu!
I love u,
Mme wangu akisafiri ntakutafuta"

Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa!
Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!

acha michepuko aka umalaya.
 
babu unataka kunichosha eeh? unaona sawa kuwa kakutana na binti njiani, kapewa namba na next appointment anaenda gesti hausi kumngojea mdada na condom? kama kugonga ndio ujanja basi wa kiume basi hajakosea ila matapeli na walivyojaa mjini akae mguu sawa tu.

Labda kama ni ushamba wangu wa 1947,

Ila bado sijaona kosa la huyu dogo. Enzi zetu kulikuwa na dogo mmoja alikuwa anaishi maeneo ya Kinondoni karibu na Kwa Manyanya, yeye wakati mwingine alikuwa anapiga kutwa mara 3 (with different girls). Na alikuwa anawategea wakitoka maeneo ya Mwananyamala kuelekea gengeni. Alikuwa akisomesha 10 hakosi mmoja au wawili....

Labda kama mambo yamebadilika enzi hizi, ila siwezi kushangaa dili kumalizika ndani ya masaa!

Kwani dogo alikuwa anatafuta mke?
 
Jana jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia!

Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes,

Kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,

Lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.

Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria,

Tulipeana contact then tukaagana.

Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite"

Leo asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema leo mchana atakuwa free,

kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni.

Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja,

saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja,

Je uko chumba no ngapi?"
Nikamjibu "niko no 9"
Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom,

Ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne!

Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani!
Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi?"
nikamjibu "niko toilet nakuja"

Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri!

Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka home!
Sijui nini kiliendelea huko lakini sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu
"I'm sorry baby,sikuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawasiliana na wewe,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu!
I love u,
Mme wangu akisafiri ntakutafuta"

Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa!
Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!



tGO ilikuwa inahusika hapo,,,
God is gr8 always, ,acha uzinzi/uasherati
 
Jana jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia!

Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes,

Kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,

Lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.

Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria,

Tulipeana contact then tukaagana.

Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite"

Leo asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema leo mchana atakuwa free,

kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni.

Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja,

saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja,

Je uko chumba no ngapi?"
Nikamjibu "niko no 9"
Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom,

Ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne!

Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani!
Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi?"
nikamjibu "niko toilet nakuja"

Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri!

Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka home!
Sijui nini kiliendelea huko lakini sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu
"I'm sorry baby,sikuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawasiliana na wewe,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu!
I love u,
Mme wangu akisafiri ntakutafuta"

Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa!
Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!
ulikuwa unapoteza marinda mzee, sijui ungekuwa mgeni wa nani.hahahahaha
 
Mmmh, unabahati ka ulizaliwa jumapili vilee
 
Kwanza wangekujambazia ukatoa vitu vyote ulivyonavyo, wakafumua marinda, halafu ukamalizia kichapo mpk ungelazwa! Shukuru shetani ulonalo nyooooooooo, huyooo. Hadi aibu, mwanaume jiheshimu. Msipende kutembea juu ya ganda la ndizi teh teh teh teh
 
Jana jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia!

Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes,

Kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,

Lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.

Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria,

Tulipeana contact then tukaagana.

Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite"

Leo asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema leo mchana atakuwa free,

kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni.

Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja,

saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja,

Je uko chumba no ngapi?"
Nikamjibu "niko no 9"
Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom,

Ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne!

Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani!
Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi?"
nikamjibu "niko toilet nakuja"

Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri!

Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka home!
Sijui nini kiliendelea huko lakini sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu
"I'm sorry baby,sikuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawasiliana na wewe,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu!
I love u,
Mme wangu akisafiri ntakutafuta"

Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa!
Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!







 
Back
Top Bottom