Hakuna muuzaji aliyeshangilia baada ya lukuvi kuingilia masuala ya uuzwaji. Wananchi walitaka waziri aje ili aharakishe zoezi la ununuaji wa hayo makazi kwakuwa pmm alidai kuwa amekwama kupata kibali, na mpaka Leo wananchi wanalitaka sana hilo zoezi na wale ambao waliuza nyumba zao mwanzoni...
Wat wanataka walipwe wakaanze maisha mengine kila mtu analitaka hilo zoezi kule vingunguti mm nashangaa mtoa mada anavyoandika as if Kuna mtu kalazimishwa kuuza eneo lake au ameporwa kinguvu
Kwanza hakuna mwenye nyumba ambaye anapinga hili zoezi na vile vile wote ambao walilipwa mwanzoni kabla ya zoezi kusimama wote hakuna aliesema amedhulumiwa pesa zake. Halafu hata kama eneo unasema ni prime linawafaidisha nini hao wakazi
Mzee bila shaka umesoma Mzumbe hiyo kozi, Mzumbe inabid wafanye namna kuongea na sekretariati ya ajira ikishindikana hiyo kozi ifutwe manake kma ni public administration in LGA na huwezi kuomba kazi yoyote iwe hata ya afisa tawala haimake sense. Wamechukua ada za watoto bure na system ya...
Unachekesha sana dogo, aliyekwambia mwenyekiti na mtendaji anabaki na kopi ni nani?? Usiongee vitu usivyojua. Usikute unaongea tu hapa wakati hata kuomba hujaomba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.