Chuo cha Sokoine/Mzumbe mnaacha division 1&2 mnapokea division gani? Ama kuna kifurushi kinatakiwa?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,136
Yaani haya mambo yamebadilika sana jamani aisee yaani leo hii div 1&2 wanaachwa.

Je, mnachukua 3&4?

Kama kuna malipo watoto waingie semeni please.

Watoto wanafaulu wana aaply yanatoka majibu mnawaambia wa apply upya aisee mnatupeleka wapi?
 
Mzee jtahdi kuangalia vigezo vinavyotakiwa katika koz huska yawezekana uneomba koz ambayo mwanao hakupaswa kusoma kutoka na combination alyosoma advance
 
shida yenu mnataka kwenda kusoma vyuo vyenye majina kuna mtu ana 1 ya 7 udsm na kaomba education huwa najiuliza sana yani ilimladi mtu asome udsm tu na wakati kuna vyuo zaidi ya 50 nchi hii

Hawajui maisha watoto... kuna vyuo vya kipuuzi ila kwenye ajira ama fursa ni balaa.. kuna chuo cha osha, kuna chuo cha uvuvi , chuo cha bandari, veta, NIT baadhi ya course. Etc etc
 
kweli ni bahati tu,mzumbe wamenikataa na division 1.8

Watoto siku hizi mnafaulu sana necta na form 6 mnamaliza wengi sana... vyuo kama mzumbe na udsm vinapokea maombi mengi sana na sana siku hizi. Ndio maana kwenye selection wanawanyima wengi nafasi
 
Yaani haya mambo yamebadilika sana jamani aisee yaani leo hii div 1&2 wanaachwa.

Je, mnachukua 3&4?

Kama kuna malipo watoto waingie semeni please.

Watoto wanafaulu wana aaply yanatoka majibu mnawaambia wa apply upya aisee mnatupeleka wapi?
We ulickia wapi degree wakachukua four, ukiona hvyo one yako ya kawaida na kozi uliyoomba kuna watu wamegonga zaidi yako. Tulia omba tena third round
 
Yaani haya mambo yamebadilika sana jamani aisee yaani leo hii div 1&2 wanaachwa.

Je, mnachukua 3&4?

Kama kuna malipo watoto waingie semeni please.

Watoto wanafaulu wana aaply yanatoka majibu mnawaambia wa apply upya aisee mnatupeleka wapi?
Hawawezi kuchukuliwa wote lazima wengine wakose.
 
Hawajui maisha watoto... kuna vyuo vya kipuuzi ila kwenye ajira ama fursa ni balaa.. kuna chuo cha osha, kuna chuo cha uvuvi , chuo cha bandari, veta, NIT baadhi ya course. Etc etc
Bila kusahau chuo cha Nyuki Tabora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom