Hii ndiyo point tuongeee yote ila ndoa za kikristo zi ashida sana ......mi ni mkristo ila navutiwa na ndoa za kiisilamu hakuna kuzenguana muda wowote ,
Kama mtu anaweza kukatwa kiungo ili kuopesha usalama wa mwili kwa nini kungangania mpk kufa ?
Kwani umezaliwa naye , ndoa nyingi zipo hoi...
Kuna muujuzi ulijikosesha usingetoa hela ungemkabidhi shehe swadaka halafu ukamueleza hali yako nadhani ungesaidiwa pakubwa sana ....
Katika maisha yako jifunze kuheshimu swadaka
Sent using i phone x
Maisha bwana [emoji24][emoji24] unawexa kusema ww unahaghaika kumbe kuna wenzako wana ck mbili hawajaona kitu kinaitwa chakula ....,Mungu uguse watu wako ...wakati kuna wengine hawajui kitu kinaitwa shidah .....
Umenikumbusha mbali uwono ,nilikuwa nauoenda nikipata na mbilimbi mashalah ugali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.