Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,496
- 23,669
Huyu dada ni mke wa mtu, tena mke wa mfanyakazi mwenzangu. Mwezi sasa ananikomalia anataka nimcheck najaribu sana kumwepuka sababu mumewe ni mtu mmoja hana maneno na watu.mpole sana na tunaheshimiana.
Angalau mumewe angekuwa mtu mbaya au mpuuzi hapo sawa.jamaa mstaarabu sana ni aibu mimi kwenda mchakata mkewe. Ntamwangaliaje usoni jamaa huyu?
Mke wake ni nunga yembe kweli kweli.yaani ashajitoa mhanga.anataka nimkamue mtindi.toka amepata namba yangu baada ya kuwa tumeonana kwenye harusi ya mfanyakazi mwenzetu.akaonekana kunikubali.
Akaenda search namba yangu kwenye simu ya mumewe akaanza mawasiliano nami.sasa imefikia hatua anasema shem hata tukido mara moja tu ntashukuru.tutafute siku tutombaneh weeeeeeeh then nirudi home nikalale.
Nimemkatalia kabisa ila anasema hawezi acha ni aibu kwake yeye atake kutombwah na mimi then nimkatae wakati ni mwanamke mzuri kabisa.so kanambia hatoacha mpaka anipate.
Nawaza wanawake wa siku hizi nini shida?wanahalalisha kabisa kuchepuka kama vile ni haki yao ya kimsingi.
Angalau mumewe angekuwa mtu mbaya au mpuuzi hapo sawa.jamaa mstaarabu sana ni aibu mimi kwenda mchakata mkewe. Ntamwangaliaje usoni jamaa huyu?
Mke wake ni nunga yembe kweli kweli.yaani ashajitoa mhanga.anataka nimkamue mtindi.toka amepata namba yangu baada ya kuwa tumeonana kwenye harusi ya mfanyakazi mwenzetu.akaonekana kunikubali.
Akaenda search namba yangu kwenye simu ya mumewe akaanza mawasiliano nami.sasa imefikia hatua anasema shem hata tukido mara moja tu ntashukuru.tutafute siku tutombaneh weeeeeeeh then nirudi home nikalale.
Nimemkatalia kabisa ila anasema hawezi acha ni aibu kwake yeye atake kutombwah na mimi then nimkatae wakati ni mwanamke mzuri kabisa.so kanambia hatoacha mpaka anipate.
Nawaza wanawake wa siku hizi nini shida?wanahalalisha kabisa kuchepuka kama vile ni haki yao ya kimsingi.