Recent content by Qassy boee

  1. Qassy boee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume, mshawahi nunua dadapoa wanaojiuza sababu ya starehe?

    mkuu mkuu moto upo
  2. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Natafuta warehouse Kariakoo na maeneo jirani

    Mkuu ninayo stoo kariakoo mtaa wa muheza
  3. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuuu mimi ni mgeni kwenye kubet na option nayoitumia ni double chance Hiyo hardcap +1 maana yake halisi ni kitu gani
  4. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Mimi ni dereva wa taxi mtandao, natafuta gari ya mkataba

    Ndyo mkuu dereva nipo hapa
  5. Qassy boee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider nachoombaa nipate mtandao wa Massage na mimi nijiunge mkuu
  6. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Biashara gani unayoweza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?

    Kuwa agent wa vibaruaa nchii za njee Hutumii nguvu kupata hela
  7. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Usaili wa mashirika yanayo shughulika na wakimbizi

    Nenda masaki sehemu moja inaitwa levante. Halafu tafuta boda au bajaj wakupeleke. Ofisi unayoitafuta hapo
  8. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Unahitaji kiasi gani cha pesa kwa maisha yako yote duniani?

    Labda bil 1.5 uweke bonds+fixed deposit Bil .1 ufanye matumizi Bado watoto kusoma ,harusi, kuuguza,misiba,
  9. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

    Unaangalia unaona katibaa haijafanyiwa marekebisho Wahujumu uchumi report ya CAG wanadunda Tume ya uchaguzi bado sio huru Kodii wafanyabiashara wanakatwa mara mbili Unaangalia mahakama inashdwa kusimamia haki vizuri Bado unakutana na vijana hawana ajiraa Bado sera mbovu kwenye sekta ya kilimoo...
  10. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote ya kupata angalau 15,000/= Tsh per day

    TBS ubungo
  11. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Msaada wa uhamisho wa Chuo

    Akasome foundation OUT alaf mwakan anaingia degree
  12. Qassy boee

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi gani ya kurudia mtihani wa kidato cha sita kwa mwaka huu 2023

    Foundation course OUT mbadala wake
Back
Top Bottom