Unaangalia unaona katibaa haijafanyiwa marekebisho
Wahujumu uchumi report ya CAG wanadunda
Tume ya uchaguzi bado sio huru
Kodii wafanyabiashara wanakatwa mara mbili
Unaangalia mahakama inashdwa kusimamia haki vizuri
Bado unakutana na vijana hawana ajiraa
Bado sera mbovu kwenye sekta ya kilimoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.