Recent content by Pusha T

  1. Pusha T

    Simba umeondokaa leo kwenda kuweka kambi

    Endeleeni kuchanganya professionalism na utu
  2. Pusha T

    Nakataa kata kata Yanga SC haina uwezo wa kumsajili Azizi Ki

    Wait wait kidogo ndo ufungue kinywa
  3. Pusha T

    SIM card is locked

    Jaman wadau nauliza Kama inaezekana kurudisha line iliyofungiwa toka mwaka Jana to be specific ni line yangu ya tigo ilifungiwa sababu ya kutokusajili kwa kitambulisho cha taifa ila sasa nna kitambulisho.
  4. Pusha T

    Nahitaji kijana wa kuhudumia shamba la Nguruwe Dodoma

    Mkuu nipo Dom currently, nasoma chuo part time naomba tufanye kazi Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Pusha T

    Kwanini mimi nimekuwa sina furaha kama wanafunzi wengine?

    Pole sana kwa ushauri penda kufanya mazoezi muda unaoupata yaani lazimisha sana mazoezi pili Omba Mungu sana tatu na mwisho penda kujichanganya na watu mida wako free Pregabalin, Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Pusha T

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Please anayejua website ya kudownload series za korean Drama complete na sio kwa episodes
  7. Pusha T

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Kuwanunua wapinzani
  8. Pusha T

    Educational sponsor needed

    That's nice brother as gentleman
  9. Pusha T

    Educational sponsor needed

    PLEASE JAMAN NAOMBA KAMA HUNA CHA KUCOMENT UPITE KIMYA KIMYA MAANA HATEFUL COMMENTS ZITANIUMIZA. Wadau wa jf mimi ni kijana nnae malizia masomo yangu ya diploma miezi miwili ijayo, ninapenda kuchukua fursa hii kuwaomba msaada wa kifedha au wa temporary work au different ideas ambayo itaweza...
  10. Pusha T

    This is Simba

    Kweli mmemtafuta full time 1-1
  11. Pusha T

    Yanga na Gor Mahia zapangwa kundi moja kombe la shirikisho

    Team za kijani Yanga na Gor hatar xana #Daimambelenyumamwiko
  12. Pusha T

    Series (Special thread)

    Blackish na Grownish
  13. Pusha T

    NBA 2017/2018 Season Special Thread

    Thunder vs Rockets in wcf
Back
Top Bottom