Jaman wadau nauliza Kama inaezekana kurudisha line iliyofungiwa toka mwaka Jana to be specific ni line yangu ya tigo ilifungiwa sababu ya kutokusajili kwa kitambulisho cha taifa ila sasa nna kitambulisho.
Pole sana kwa ushauri penda kufanya mazoezi muda unaoupata yaani lazimisha sana mazoezi pili Omba Mungu sana tatu na mwisho penda kujichanganya na watu mida wako free Pregabalin,
Sent using Jamii Forums mobile app
PLEASE JAMAN NAOMBA KAMA HUNA CHA KUCOMENT UPITE KIMYA KIMYA MAANA HATEFUL COMMENTS ZITANIUMIZA.
Wadau wa jf mimi ni kijana nnae malizia masomo yangu ya diploma miezi miwili ijayo, ninapenda kuchukua fursa hii kuwaomba msaada wa kifedha au wa temporary work au different ideas ambayo itaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.