Mbona wengine wanasoma kwa furaha zote kwanini hii hali inikute mimi tu nina nini? Nilianza masomo ya kidato cha tano na cha sita kwa usajili wa private candidate nikaacha nikaona nisije nikashindwa kufaulu kutokana na muda kuwa mchache nikaamua kwenda chuo.
Mwanzo nilianza kwa furaha zote badae ghafla tu hali ikabadilika na kuanza kuumia moyo 24 hrs na kutaka kugairi kusoma nilijilazimisha hadi nikamaliza mwaka performance ikawa nzuri sana.
Naombeni mnipe nguvu nifanye nini ili hii hali iondoke mana ilianza mwaka jana na kila siku inanisumbua roho inauma kama inataka kunyanyuka haitulii kabisa na kutwa inawaza shule tu. Mimi hii hali siitaki nahitaji niwe na furaha kama wanafunzi wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo nilianza kwa furaha zote badae ghafla tu hali ikabadilika na kuanza kuumia moyo 24 hrs na kutaka kugairi kusoma nilijilazimisha hadi nikamaliza mwaka performance ikawa nzuri sana.
Naombeni mnipe nguvu nifanye nini ili hii hali iondoke mana ilianza mwaka jana na kila siku inanisumbua roho inauma kama inataka kunyanyuka haitulii kabisa na kutwa inawaza shule tu. Mimi hii hali siitaki nahitaji niwe na furaha kama wanafunzi wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app