Yaan wew jamaa ni Mimi kabsa hapo kwenye kifurushi Cha wiki.Mimi nawapigiaga wafanyabiashara wezangu tu basi,zaidi ya hapo mwendo was my tu,yaanu cm yangu ina dakika nyingi Sana mpaka watu wanashangaa
Single maza wengi ni wale ambao waliwakataa waoaji was kweli na kwenda kuangukia kwa wale wazuri was sura ambao wao waliwaona wanawafaa kumbe Nia yao ni kupiga na kusepa,naunga hoja mkono tusioe single maza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.