Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,559
Hii kitu naona imekuwa too much sana hasahasa siku za hivi karibuni yaani ukifungua pochi za wadada watatu wa mjini hapa basi wawili lazima kwenye pochi zao utakuta wameweka mafuta ya mgando yaani lile wese haswaaa.
Tunaomba kujua kazi ya hilo weseee mana vitu vingine mnavyobeba kwenye hayo mapochi yenu tunajua kazi zake kama hizo lipostiki, mijipafyumu hiyo na vinginevyo.
Nimemaliza!
Tunaomba kujua kazi ya hilo weseee mana vitu vingine mnavyobeba kwenye hayo mapochi yenu tunajua kazi zake kama hizo lipostiki, mijipafyumu hiyo na vinginevyo.
Nimemaliza!