Na mlizi huyo huyo anaweza hata kumnyandulia mke wake, tena kwa kumpeleka hadi guest za Buza Kwa Mpalange! Maisha hayapo fairHapo hapo ofsini kwenu Kuna mlinzi wenu analipwa take home
270,000
Amejenga, ana mke na anasomesha watoto watano.
My take:
Hakuna mshara mkubwa Wala mdogo, Ni suala la vipaumbele vya matumizi litakalowatofautisha mfanyakazi uyu na Yule kimaendeleo
Anzisha uzi wako tutachangia. Ila kwa sasa kaa pembeni kwanza maana huu uzi haukuhusu.Ikifika zamu ya kutujadili sisi migambo tunaofanya kazi Posta(jijini) na kuishi Mbagala(Mkoani) nitatia neno. Na mshahara wetu ni laki mbili na nusu hadi laki 3.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Sisi wa Dodoma tusubiri uzi wetu.Na sisi tuliopo Dodoma na miji mingine kama Moshi mbona hamtusememi?
Unafahamu Wafanyakazi walio ajiriwa kuanzia mwaka 2014 mpaka leo bado hawajapandishwa madaraja/ vyeo vya kimuundo! na hivyo kuishi kwa mshahara ule ule wa TGS D sawa na hawa walio ajiriwa 2021?Yaan we unaanza kazi tu unaanza kuwa na majukumu makubwa ,familia watoto wanasoma etc...
Aisee....Anzisha uzi wako tutachangia. Ila kwa sasa kaa pembeni kwanza maana huu uzi haukuhusu.
Una undugu na Mzee Yusuph? Mbona unapenda sana Taarab! Yaani walau hiyo paragraph yako ya mwisho ndiyo kidogo umeandika point! Ila hilo liparagraph lako refu la mwanzo, limejaa vijembe tu na taarab nyingi! Aaaaaahhhh!😫😫Mleta mada atakuwa mtoto wa mama alizoea kupewa pocket money laki mbili kwa mwezi kula kulala bure nyumbani chumba self contained cha peke yake anatumia gari ya wazazi mzazi anajaza mafuta na kila kitu .Umeme maji nk mzazi sasa akipangiwa kazi na mshahara laki tano anataka aishi maisha yale yale apate nyumba self contained yenya kasebule ka peke yake ale buffet na pizza nk kama alivyokuwa akila kwa wazazi haipo hiyo!! Nina mtoto wa jirani alikataa kwenda mbinga kikazi ualimu shule ya msingi akawa anatukana wazazi wake kuwa wana vyeo vikubwa lakini hawampendi akasema kwa nini nisipangiwe Dar es salaam? akaulize kazi ya vyeo vyenu vikubwa ni nini kama hamnisaiidii mtoto wenu wakabaki wanatoa machozi tu sababu hata hiyo ajira kuipata ni Mungu aliyesaidia .Hawakujua hata watafanyaje baada ya kumaliza course ya ualimu
Kuanza maisha inatakiwa kushuka ndio maana kunaitwa kuanza maisha ulizoea kukaa kwa watu sasa zamu yako kuanza na wewe maisha!! Panga sehemu zinaoendana na kipato na uishi maisha ya kawaida tu digrii yako is not a big deal hata vijijini sasa hivi ziko kibao watu wanazo hawana kazi
Ukisikia uchawi ndio huo anaoufanya jamaa.Unafahamu Wafanyakazi walio ajiriwa kuanzia mwaka 2014 mpaka leo bado hawajapandishwa madaraja/ vyeo vya kimuundo! na hivyo kuishi kwa mshahara ule ule wa TGS D sawa na hawa walio ajiriwa 2021?
Kwa hiyo unategemea mfanyakazi aliyeanza kazi mwaka 2014 mpaka mwaka huu wa 2021 baso awe tu hana familia au mtoto anayesoma?
By the way, kuna wahitimu wengine wanamaliza shule/vyuo wakiwa tayari wana familia kutokana na ukweli kwamba umri una waruhusu kuwa na hizo familia!
Hahahaa! HatariNguo zinapauka.
Ukimwona kijana kavuta Brevis unavuta mdomo.
Mbeya mjini gharama za nyumba zikoje.Hiyo kama yupo mbeya na Tanga hiyo nyingi sana.
Wengi humu tunakunja laki 7, baada ya makato tuna laki 5 tu. Hao wa 2mill ni wateuliwa wachache sana.Mara ghafla wachangiaji wote wa JF watageuka kua ni watu wanaolipwa 2mil and above/month na watampa ushauri mwny salary ya laki 5 na watashangaa ssna mwenzao anawezaje kuishi hapa mjini kwa pesa ndogo hivyo.
Ndio uhalisia huu mtu unajibana hadi unabanika lakini wapi?Uzi muhimu sana huu, sema waswahili sisi tuna kauchawi fulani wa maendeleo.
Uchawi upo kwa kweli. Hao wa TGS A Mungu mkubwaWe acha tu na nyuma yako kuna TGS A, B na C , afu ukute wanafamilia.
Nipange uswahilini ili vibaka waje wanikombe kila kitu?Fuata hii formula utanishukuru
Live below your means
Save
Invest
Sisi wa Dodoma tusubiri uzi wetu.
Ila Dodoma wanaume wasio na kipato cha kueleweka sijui wanaishije maana mji mgumu huu.
Sisi wanawake ni mtelezo tu.
Mungu awasimamie wanaume zetu mlioko Dodoma. Tuko pamoja, hatuwaachi.
Achana nae huyo bado amekariri formula : kuzaliwa, kusoma, kupata kazi, kuoa, kuzaa.Unafahamu Wafanyakazi walio ajiriwa kuanzia mwaka 2014 mpaka leo bado hawajapandishwa madaraja/ vyeo vya kimuundo! na hivyo kuishi kwa mshahara ule ule wa TGS D sawa na hawa walio ajiriwa 2021?
Kwa hiyo unategemea mfanyakazi aliyeanza kazi mwaka 2014 mpaka mwaka huu wa 2021 baso awe tu hana familia au mtoto anayesoma?
By the way, kuna wahitimu wengine wanamaliza shule/vyuo wakiwa tayari wana familia kutokana na ukweli kwamba umri una waruhusu kuwa na hizo familia!
Kwani wee ulitakaje labda?Mlinzi akijenga chumba kimoja huku umri wake 50's unasema maendeleo?
Tatizo linaanzia hapa kwa sisi vijana tunaoajiriwa. Tunataka tupate ajira Leo mwakani tuanze kujenga. Na hapo lazima mshahara uwe mdogo tu. Kujenga ni process inatohitaji muda mrefu kidogo ikitegemeana na mshahara na majukumu mengine ya lazima.Huyo mlinzi aliyejenga ukifatilia utakuta alikuwa askari mstaafu ila sio hawa wa miaka 20-25.