Ushauri wenu kuhusu tabia hii yangu

Ushauri wenu kuhusu tabia hii yangu

Ikiwa umebaini kuwa tabia hiyo ni mbaya na ni chukizo hata ndani ya nafsi yako ni hatua kubwa kuelekea kuiacha. Ipo nguvu chanya ambayo unatakiwa kuizalisha ili ipambane na huo msukumo wa kizinzi ambao tunaweza kwa sasa kuuita hasi. Ikikupendeza ni pm kuna jambo nitakusaidia uondokane na kadhia hiyo.
shukrani mkuu
 
Ikiwa umebaini kuwa tabia hiyo ni mbaya na ni chukizo hata ndani ya nafsi yako ni hatua kubwa kuelekea kuiacha. Ipo nguvu chanya ambayo unatakiwa kuizalisha ili ipambane na huo msukumo wa kizinzi ambao tunaweza kwa sasa kuuita hasi. Ikikupendeza ni pm kuna jambo nitakusaidia uondokane na kadhia hiyo.
nashukuru sana mkuu
 
Habari wakuu, nimekuja kwenye jukwaa ili niombe ushauri nifanyaje tatizo langu ni kila mwanamke ninayemuona natamani kuwa naye. Awe mwembamba au mnene uko bado ndio nishachafua karibia wote, kila nikisema huyu wa mwisho nakaa kidogo siku mbili napiga mwingine tena.

Yaani magesti yote wananijua, nataka niache nashindwa.

Ushauri wakuu
Una umri gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sina ushauri Ukipata HIV ndo utaamua ufanye nn uwe mzee wa nyumba za ibada au uendelee kuusambaza
 
Nimekuwa Mtumwa wa Bwana, Mungu wangu.

Ibada sana, kufunga na maombi ya muda mrefu tena kwa machozi.
Yaani kila siku za ibada sijawahi kukosa, muda wote nawaza Kanisani tu.
Hata nyimbo nimekuwa mtu wa gospel songs tu.

Hata nikitoka job, kama ni siku ya ibada napitiliza kabisa Church, sipiti geto.
Then, nimeacha kwenda viwanjani.

Nikishafika geto tu, sitoki kabisa.
Hongera baharia
 
Habari wakuu, nimekuja kwenye jukwaa ili niombe ushauri nifanyaje tatizo langu ni kila mwanamke ninayemuona natamani kuwa naye. Awe mwembamba au mnene uko bado ndio nishachafua karibia wote, kila nikisema huyu wa mwisho nakaa kidogo siku mbili napiga mwingine tena.

Yaani magesti yote wananijua, nataka niache nashindwa.

Ushauri wakuu
Addicted to sex,maombi yanakuhusu sana wewe...
 
Back
Top Bottom