Kati ya vitu vilivyonishinda maishan mwangu ni
1.Kuwa na rafiki ambae sina issue nae kama vile biashara, kaz n.k
2.Kutaja jina langu full
3.Kutaja kwetu nlikotokea
4.Kutaja kazi nnayoifanya
5.Kupiga smu kwa mtu ili kumsalimia yaan siwez n lazma kuwe na issue tunaizungumzia
6.Kuanzisha story itakayonihitaji mm nitoe taarifa zangu kama vile jina,dini,chimbuko langu,n.k
7.Staki mtu ajue mahali nnapoishi
8.Mtu akija hom kwangu najiskia sna amani yaan kama nimebanwa vile
9.Kupiga story za umbea no no No....ukinpigia smu ili ulete umbea ntakuskiizaaaa afu tunaagana
10.Maishani mwangu sjawahi kuwa na rafiki wa kudumu yan kama tunafanya kazi/biashara bas tutakua marafiki kwa mda huo baada ya hapo kila mtu afate yake mm siez pga smu wala sms (japo mara moja moja twaweza kuwasiliana)
11.Sna mazoea na ndugu zangu hata kdogo yaan nna urafiki na dadangu na kaka angu bhaaaasi.
12.Mambo mengi napenda kuyafanya kwa siri ktu knachofanya watu kuhsi mm sio mtu wa kawaida.
13.Nkiwa na tatzo spend mtu yyte ajue
14.Ninabadilika badilika sana yaan hata tukikubaliana jambo fulani bado huwa siridhiki,naendelea kulifikiria je hili jambo/biashara lina maslahi ???
15.mda mwingne ukinkuta naongea saanaaa lakn ukinikuta npo cool mkimyaaaa mpaka sio poa.
Sent using
Jamii Forums mobile app