Wengi wetu naamini mnajua kwa kina jinsi monii na Roma walivyokuwa washikaji..Na hata lile tukio la kutekwa walitekwa wote.....
Sasa shida imekuja baada ya kurudi uraiani wamekua sio washikaji tena
Je, kuna nini kati yao hapa wadau???
Ninampenzi wngu leo ni siku ya tano mfululizo anaingia period ila kinachonisababisha niombe ushauri damu inatoka nyingiiiii sana kuliko miaka yote.,je ili ni tatizo gani waungwana? Naombeni msaada
Uwa najiuliza waume zenu hawapitiii humu hizi bandiko zenu?
Na je hawana marafiki ndugu majirani waliomo humu wakapeleka taarifa kwa wahusika? Au uwa mnatunga habari? Mnapata wapi hz confidence??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.