Recent content by puker

  1. puker

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kuingia kwenye matatizo bila kutegemea? Ulifanya nini kuondokana nayo?

    Nilijifunza nini baada ya karibu kuingia kwenye tatizo kubwa? Nataka kushirikisha jambo lililonitokea, si kwa ajili ya kulaumu mtu yeyote, bali labda linaweza kumsaidia mtu mwingine ambaye amewahi kujikuta kwenye hali kama hii. Mimi ni mtu ninayependa kusocialize. Ninaamini sehemu kama baa...
  2. puker

    JamiiForums Tanzania LAPTOP AINA YA HP INAUZWA

    Ni hela nyingi sana boss wangu ila haina maslahi mkuu
  3. puker

    JamiiForums Tanzania LAPTOP AINA YA HP INAUZWA

    SIFA ZAKE: HP E Lite Book Internal Hard Disk storage: GB 500 RAM storage: 8GB Processor: 1.50GHZ Price Tsh 195,000/= Mawasiliano: 0798434285 🚫 Battery yake imeshakufa hivyo kutumia ni mpaka ichomekwe kwenye umeme. Tatizo ni hilo tu, kila kitu kipo vizuri, ukiamua kubadilisha battery ni laptop...
  4. puker

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kurudisha account yangu ya Whatsapp

    Futa hiyo uliyonayo download nyingine halafu tumia namba nyingine ikishakuwa logid in, change number itakuwa sawa
  5. puker

    JamiiForums Tanzania Simba sio mnyama mkali mbele ya Binadamu aliyekasirika na mwenye roho ya kisasi

    Kiongozi hatupendi ila kulingana na mapambano ya kimaisha...inatokea hivyo naamini wengi wana vitu vingi vya ku share na jamii ila wamechagua kukaa kimya🙏
  6. puker

    JamiiForums Tanzania Simba sio mnyama mkali mbele ya Binadamu aliyekasirika na mwenye roho ya kisasi

    Ndiyo jamaa alikuwa anakatwa kwenye mshahara wake, na walivyompa uhamisho ile hela ya uhamisho waliizuia nikapewa ingawa hakumaliza yote ila nilipata kama M7.6 hv
  7. puker

    JamiiForums Tanzania Simba sio mnyama mkali mbele ya Binadamu aliyekasirika na mwenye roho ya kisasi

    Kila binadamu, anachumba cha siri sana ni mara chache sana hufungua chumba hicho ila usiombe akifungue madhara yake ni makubwa. Mwaka 2018, nilikuwa namiliki biashara ya kuuza pombe, Min bar...baadhi ya wateja wangu wengi walikuwa ni maaskari(polisi) hususani Patrol maana ilikuwa barabarani...
  8. puker

    JamiiForums Tanzania Jana usiku nime video chat na Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro, 🤯

    Mapazia ya waha, na vitanda vya pale manzese🤣🤣🤣🤣
  9. puker

    JamiiForums Tanzania Ambao mmetoka kwenye Familia zenye Upendo, Mshukuru Mungu

    Hauko peke yako ndugu, ila hizi familia za kiafrika kama huna roho ngumu, ni familia za kibinafsi sana, sasa hivi nimewekeza akili, nguvu na uwezo wangu wote kutafuta hela, Ndugu yangu ni Mungu pekee, hao wengine wakati ukifika watajileta wenyewe kikubwa namuomba Mungu anijalie Afya njema na...
  10. puker

    JamiiForums Tanzania Nawaunga mkono wazanzibar kuwafurusha watanganyika kutoka Zanzibar

    Hayati baba wa Taifa, aliweka huu Muungano kwa kigezo kimoja kikubwa na muhimu sana, ambacho ni swala la usalama wa nchi, ukaribu tulionao katika ya Tanganyika na Zanzibari...tukiruhusu zanzibar iwe nchi huru ni wazi tutakuwa tumeacha wazi mlango muhimu sana, kama mnavyofaham nchi ikijitegemea...
  11. puker

    JamiiForums Tanzania Kutamani Dunia ifike mwisho, Nani mwingine aliwahi pitia hali hii?

    Kwa nini, unahisi sio kisa halisi, hakiwezi nitokea mtu kama mimi, au sijawahi pitia mahusiano yakaniumiza🤔
  12. puker

    JamiiForums Tanzania Kutamani Dunia ifike mwisho, Nani mwingine aliwahi pitia hali hii?

    Habari, za muda huu ndugu zangu wana JF. Kwenye maisha, kuna mambo mengi tunapitia mazuri na mabaya. Naamini sio wote tumewahi pitia mambo magumu kiasi cha kutamani kufa au Dunia ifike mwisho kulingana na sittuation ya wakati huo. Binafsi nimewahi pitia vipindi viwili vingumu sana kwenye maisha...
  13. puker

    JamiiForums Tanzania Nani Mwingine hasira humweka pabaya kunizidi?

    Hapana....imetokea tu😊
  14. puker

    JamiiForums Tanzania Nani Mwingine hasira humweka pabaya kunizidi?

    Nipo hapa kwa msaada sio misemo ya wahenga
Back
Top Bottom