Nilijifunza nini baada ya karibu kuingia kwenye tatizo kubwa?
Nataka kushirikisha jambo lililonitokea, si kwa ajili ya kulaumu mtu yeyote, bali labda linaweza kumsaidia mtu mwingine ambaye amewahi kujikuta kwenye hali kama hii.
Mimi ni mtu ninayependa kusocialize. Ninaamini sehemu kama baa...
SIFA ZAKE:
HP E Lite Book
Internal Hard Disk storage: GB 500
RAM storage: 8GB
Processor: 1.50GHZ
Price Tsh 195,000/=
Mawasiliano: 0798434285
🚫 Battery yake imeshakufa hivyo kutumia ni mpaka ichomekwe kwenye umeme.
Tatizo ni hilo tu, kila kitu kipo vizuri, ukiamua kubadilisha battery ni laptop...
Kiongozi hatupendi ila kulingana na mapambano ya kimaisha...inatokea hivyo naamini wengi wana vitu vingi vya ku share na jamii ila wamechagua kukaa kimya🙏
Ndiyo jamaa alikuwa anakatwa kwenye mshahara wake, na walivyompa uhamisho ile hela ya uhamisho waliizuia nikapewa ingawa hakumaliza yote ila nilipata kama M7.6 hv
Kila binadamu, anachumba cha siri sana ni mara chache sana hufungua chumba hicho ila usiombe akifungue madhara yake ni makubwa.
Mwaka 2018, nilikuwa namiliki biashara ya kuuza pombe, Min bar...baadhi ya wateja wangu wengi walikuwa ni maaskari(polisi) hususani Patrol maana ilikuwa barabarani...
Hauko peke yako ndugu, ila hizi familia za kiafrika kama huna roho ngumu, ni familia za kibinafsi sana, sasa hivi nimewekeza akili, nguvu na uwezo wangu wote kutafuta hela, Ndugu yangu ni Mungu pekee, hao wengine wakati ukifika watajileta wenyewe kikubwa namuomba Mungu anijalie Afya njema na...
Hayati baba wa Taifa, aliweka huu Muungano kwa kigezo kimoja kikubwa na muhimu sana, ambacho ni swala la usalama wa nchi, ukaribu tulionao katika ya Tanganyika na Zanzibari...tukiruhusu zanzibar iwe nchi huru ni wazi tutakuwa tumeacha wazi mlango muhimu sana, kama mnavyofaham nchi ikijitegemea...
Habari, za muda huu ndugu zangu wana JF.
Kwenye maisha, kuna mambo mengi tunapitia mazuri na mabaya. Naamini sio wote tumewahi pitia mambo magumu kiasi cha kutamani kufa au Dunia ifike mwisho kulingana na sittuation ya wakati huo.
Binafsi nimewahi pitia vipindi viwili vingumu sana kwenye maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.