Uliwahi kusikia ulaya wamempa mtu madaraka makubwa serikalini mtu aliyetokea familia maskini? unajua kwa nini? Umaskini unaanzia kwenye akili (mentality), maskini nahisi umiliki wa vitu vingi ni ufahari bila kuwaza mipango na kuviendeleza kwa sababu tu, familia yake haikuwa kuvimiliki hapo...
Ni wiki sasa, tangu nimeamua kwa dhati. Kuacha pombe kutokana na pombe inavyonipeleka pabaya na kuharibu maisha yangu..matokeo yake usiku nikilala napata ndoto mbaya za kutisha na kutia hofu halafu chanzo ni pombe, na sio ndoto moja kila nikitustuka nikilala tena inakuja nyingine na kisa kingine...
Nilijifunza nini baada ya karibu kuingia kwenye tatizo kubwa?
Nataka kushirikisha jambo lililonitokea, si kwa ajili ya kulaumu mtu yeyote, bali labda linaweza kumsaidia mtu mwingine ambaye amewahi kujikuta kwenye hali kama hii.
Mimi ni mtu ninayependa kusocialize. Ninaamini sehemu kama baa...
SIFA ZAKE:
HP E Lite Book
Internal Hard Disk storage: GB 500
RAM storage: 8GB
Processor: 1.50GHZ
Price Tsh 195,000/=
Mawasiliano: 0798434285
🚫 Battery yake imeshakufa hivyo kutumia ni mpaka ichomekwe kwenye umeme.
Tatizo ni hilo tu, kila kitu kipo vizuri, ukiamua kubadilisha battery ni laptop...
Kiongozi hatupendi ila kulingana na mapambano ya kimaisha...inatokea hivyo naamini wengi wana vitu vingi vya ku share na jamii ila wamechagua kukaa kimya🙏
Ndiyo jamaa alikuwa anakatwa kwenye mshahara wake, na walivyompa uhamisho ile hela ya uhamisho waliizuia nikapewa ingawa hakumaliza yote ila nilipata kama M7.6 hv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.