Recent content by puker

  1. puker

    Nimeyakumbuka maisha yangu ya uyatima; Uyatima ni noma sana ndugu zangu

    Mwaka 2006 nikiwa form 2, baba yangu mkubwa alikuwa anafudisha shule niliyosoma, sikujali kunywa uji wenye sukari, maandazi Wala blueband maana nilijua sikustahili maana sikuwa na wakunipatia Kuna siku nilienda staff nikamfata nikamwambia baba naomba unisaidie hela nikanunue kiwi bila uwoga Wala...
  2. puker

    Siku ukiona namna mwanamke anavyokua na anavyobehave akiwa na mwanaume aliempenda kwa dhati basi utaacha kuwafukuzia wanawake ili ukae kusubiri wako

    We mpuuzi umejua kunichekesha.....🤣🤣🤣🤣 ngoja viposho vyako vya kampeni viishe ndio utajua ujui🤣🤣🤣
  3. puker

    Mtu anayetoa milion 10 kununua bajaji Ili apewe 20k Kwa siku ni kufanya biashara kichaa

    Mimi binafsi kama ningekuwa na hiyo Mil 10...cash, ningetafuta eneo nje na makazi ya watu, ningeanzisha ufugaji wa nguruwe nikianza na mbegu majike 10 madume wawili kama nitazingatia kanuni za ufugaji vizuri ndani ya mwaka mmoja tu.....nina shamba la nguruwe za ya 60+ hivyo ndani ya miaka...
  4. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    Mtu unajiita Shing Yu na unaishi songea mbinga🤣🤣🤣
  5. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    Pengine lakini binafsi najitosheleza watu wakiniona Nina njaa lakini Mimi nimeshiba tatizo sio langu ni wao😀
  6. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    Unaona sasa ulivyo wa hovyo, unawezaje kamwambia mtu anaishi kwake ana njaa huo ujasiri unautoa wapi? 🤣🤣🍹🍹
  7. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    🤣🤣🤣 watu mnamdharau humu, usikute hata wewe unaeandika hapa unakaa kwa shemeji yako🤣🤣🤣
  8. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    🤣🤣🤣 Dah sikutegemea hii comment lakini fresh
  9. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    Kivipi?
  10. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    Hapana Sina maana hiyo... sinaga tamaa za kijinga rafiki yangu... ila lilikuwa jambo la kunishangaza kidogo
  11. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    Kivipi... toa ufafanuzi?
  12. puker

    Hii imekaaje wakuu?

    Kuna siku nikiwa kwenye mishe zangu maeneo ya Ilala MTAA wa Arusha nilisikia sauti za watoto wakiiniita kando ya Barabara walikuwa kwenye UBA imepaki, walikuwa watoto wa kihindi, (Maisha safi) kamoja kakanionesha noti ya Tsh 10,000 kaka niambia njoo uchukue kaka, nikatabasamu nikamwambia Ahsante...
  13. puker

    Gwajima si shujaa wetu lakini kwa hili la leo anaelekea kwenye huo ushujaa. Je, atakuwa salama kiasi gani?

    Most of wise man, ambae kwangu ni kama kioo ni huyu mwamba.... Huwa namfatilia sana kwenye harakati zake Huwa hakurupuki.... Aiseee huyu mama amekutana na Jabali sijui kama hataweza kuliweka kando kama mwenda zake alishusha mapanga CHINI... sijui kama mama yetu, huu ni mziki mnene, ila...
  14. puker

    A-Z Sakata la picha za utupu za Menina!

    Sasa kama umedanganya tusikwambie mkuu? Haya umeongea ukweli🙂
  15. puker

    A-Z Sakata la picha za utupu za Menina!

    Hakuna la ukweli hata Moja... ila kwa sababu ni soga Acha tuendelee kusikilizia🤔
Back
Top Bottom