Recent content by puker

  1. puker

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    Pale kwa washua wastaarabu
  2. puker

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    Pansitwa Andis
  3. puker

    Maajabu usiyoyajua kuhusu hii movie

    We komaaa we, Kuna hiyo Moja Kuna mbabu anabaka wanawake then anawauwa kikatili Kuna jamaa alikuja kumtembezea kichapo Cha paka mwizi unaweza uka pause ili umuombee jamaa msamaha, sema jina ndio nimesahau.
  4. puker

    Jesca Magufuli achangia Ujenzi Nyumba ya Katibu UVCCM Wilaya ya Chato. Asisitiza Kumuenzi Hayati Magufuli

    Huyu ndio Jesca aisee!🤔🥺 Kuna sehemu niliwah kutana nae tukaongea kwa muda mrefu kidogo sikumbuki hata kama nilimuuliza hata jina mpaka namuona kwenye picha hapa ndio nikakumbuka anyways ukikutana nae nivigumu sana ku notice ndio Jesca wa hayati JPM nilichopenda kutoka kwake hakuonesha majivuno...
  5. puker

    Ni biashara gani inaweza ingiza atleast faida ya TZS 5M kama nikiwekeza TZS 30M?

    Twende kitaalamu Ml 5 ni kama 21.8% kwenye Mil 30 sasa kwa nature ya biashara nyingi za hapa nchini biashara inayoweza kukupa faida ya asilimia hizo kulingana na mtaji uliowekeza Absolutely ni biashara ya chakula ila Cha kuzingatia ni eneo la biashara na namna utakavyoiweka biashara yako. Yangu...
  6. puker

    Huyu mwanamke ana sonona. Msaada wakuu

    We Yan mtoto wa mwisho ana miezi tisa halafu baba wa huyo mtoto aliondoka miaka mitano iliyopita kwa hiyo hiyo mimba ilitumwa kwenye what's app?🤣
  7. puker

    TANZIA Sophia Leone afariki dunia

    Hilo neno la down stairs...ndio ninalotumia kusave hayo mavitu kwenye laptop yangu umenichekesha sana🤣🤣🤣🤣
  8. puker

    Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

    Kila mtu Aishi kwa mtazamo wake maadam hakufanyii makosa mwache afanye vile anaona yeye ni sahihi na inampa furaha...ifike wakati tuache ku deal with other people stuff. Huu ni ujinga kiwango Cha five star
  9. puker

    Wauza kila kitu ili waishi wakisafiri kwenye meli maisha yao yote

    Wanandoa waliojulikana kwa majina ya John Hennessee, mwenye umri wa miaka 76 na mkewe Melody Hennessee, mwenye umri wa miaka 64, wameamua kutumia muda wa maisha yao yote wakisafiri katika sehemu mbalimbali ulimwenguni kwa kutumia usafiri wa meli, ambapo walibainisha kuwa miaka mitatu iliyopita...
  10. puker

    Chid Benz kama Case study: Wasanii wana michezo wanarogwa sana. Sababu hii hapa chini👇

    Umenichekesha da way unailaumu Dunia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  11. puker

    Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Ila Big amenichekesha sana.....Ila Kuna jambo kubwa la kujifunza hapa, ukiingia kwenye ofisi tupunguze ujuaji, kujifanya unajua kila kitu...mwisho wa siku ninkuwngukia pua.
  12. puker

    Msaada matatizo ya Samsung S23 ultra

    Nenda kwa Samsung dealers watakurekebishia....unless otherwise Hy simu ni fake
  13. puker

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Kama sio alex wewe sio bure....ulivyotoka Japan ulikuwa vizuri zaidi ya sana
Back
Top Bottom