Hii ni mbinu yangu kuu..Ukiona hasira zimekukamata ondoka eneo la tukio
Upo kwenye right truck kama umeweza kugundua udhaifu wako sasa endelea kutafuta suluhisho.Habari zenu ndugu zangu natumai mko poa. Kuna jambo, huwa linaumiza sana acha niwashirkishe ndugu zangu.
Kuna wakati, naweza nikawa na mazungumzo na mtu aidha tumekwazana katika jambo fulani, aidha kibiashara, kijamii, kimahusiano n.k, naweza kuta nina hoja za msingi sana, bila matusi, kejeli wala dharau naweza kumweleza mtu huyo na akanielewa na mambo yakakaa sawa na tukaendelea kuheshimiana kama kawaida.
Tatizo linakuja pale ninapofika kwenye field (Yani ninapokutana na muhusika) anaweza akaongea neno likaniumiza hasira ulipuka na kujikuta nazungumza nisivyokusudia, na mara nyingi sizungumzi vitu vya msingi nilivyokusudia matokeo yake badala ya kuweka mambo sawa, ndio nazidi kuharibu.
Baadae akili ikutulia ndio naanza kujilaumu kwa nini, nilishindwa kudhibiti hasira zangu lkn inakuwa too late
Shetani hupalilia hasira kwenye sharubu😅 sharubu kivipi
😅Shetani hupalilia hasira kwenye sharubu
Mkuu usiruhusu hisia zikutawale. Hasa strong emotion huwa hazina matokeo chanya zikikutawala.Habari zenu ndugu zangu natumai mko poa. Kuna jambo, huwa linaumiza sana acha niwashirkishe ndugu zangu.
Kuna wakati, naweza nikawa na mazungumzo na mtu aidha tumekwazana katika jambo fulani, aidha kibiashara, kijamii, kimahusiano n.k, naweza kuta nina hoja za msingi sana, bila matusi, kejeli wala dharau naweza kumweleza mtu huyo na akanielewa na mambo yakakaa sawa na tukaendelea kuheshimiana kama kawaida.
Tatizo linakuja pale ninapofika kwenye field (Yani ninapokutana na muhusika) anaweza akaongea neno likaniumiza hasira ulipuka na kujikuta nazungumza nisivyokusudia, na mara nyingi sizungumzi vitu vya msingi nilivyokusudia matokeo yake badala ya kuweka mambo sawa, ndio nazidi kuharibu.
Baadae akili ikutulia ndio naanza kujilaumu kwa nini, nilishindwa kudhibiti hasira zangu lkn inakuwa too late
Sio wahenga ni Hekima za SolomoniHasira umkaa mjinga kifuani pake, siyo mimi ni wahenga
Alitaka ukatindue mjombaKuna jamaa alinijia PM kwa pigo za kidemu, baada ya Mimi kumgundua akaanza kunirushia matusi.
Sasa nimegundua I'd yake Moja maarufu humu, ngoja nimnyooshe.
Atambue kuwa siingizi dushelele langu qinyeoni mwake. Mbwa malaya yule!!
Hapana kaka, nimetoka katika familia ya dini.Alitaka ukatindue mjomba
Jamaa anamaanisha acha ujinga.Nipo hapa kwa msaada sio misemo ya wahenga
Kama mimiHapana kaka, nimetoka katika familia ya dini.
Basi sote tumwabudu mungu wetu aliye juuKama mimi
Hakika nduguBasi sote tumwabudu mungu wetu aliye juu