WanaJF,
Husika na kichwa hapo juu.
Nahitaji bodi kwa ajili ya kuhifadhi maziwa ya Tanga fresh. Niko Dar.
Ikiwa unalo bodi au unafahamu mwenye nalo, tafadhali tuwasiliane kwa namba 0657 15 19 38 kwa ajili ya mazungumzo zaidi.
Nani kakwambia serikali kazi yake kulisha watu!?
Wewe endelea kufanya kazi, kuwa mbunifu na ujiendeleze. Usitegemee serikali ikuingizie pesa mfukoni. Kwanza misingi ya uchumi inapiga marufuku kuongeza mishahara hovyo hovyo.
Serikali kazi yake ni kuweka mazingira wezeshi ya watu kujifanyia...
Maeneo muhimu ambayo rais Dkt Magufuli amefanikiwa ni kwenye makusanyo ya kodi na kubana matumizi yasiyokuwa ya lazima....Sasa pesa ipo ya kutosha na tumeanza kutimiza ahadi zetu kwa wananchi. CCM mbele kwa mbele.
Shukrani kwa wema gani mlimfanyia? Nyie someni namba...Hakuna namna. Wambieni UKAWA wawajengee nyumba kwenye maeneo yaliyopimwa....Hatutaki wavunja sheria hapa Dar. Mlimchagua Mamvi ili aendelee kulea lea genge la wavunja sheria sio?
WanaJF,
Kama wote tujuavyo serikali ipo katika jitihada ya kuondoa wakazi wote waishio kinyume cha sheria za nchi hasa wale wakazi wa mabondeni, wanaoishi kwenye maeneo ya wazi na waliojenga kwenye fukwe na maeneo yasiyo ya kwao kihalali.
Zoezi hili lililoteka media kwa sasa linaelekezwa nguvu...
Kubenea mzee wa nilisoma hapa na pale. Teh teh teh.
Ila chuki ni mbaya sana. Maisha yenyewe haya ya miaka michache duniani...Ya nini kuwa na chuki na mtu?
Kuhusu ukigeugeu wa Kubenea....Sihitaji kusema kitu hapa. Ni yeye ndiye alituambia Lowassa hasafishiki na ushahidi kibao alikuwa akiweka...
Umepotoka! Zitto hajapania chochote kuhusu Kubenea. Zitto ni mbunge na kazi yake kubwa ni kuwapelekea wananchi wake maendeleo.
Ikiwa Kubenea anafanya hayo ya kumchafua Zitto ili apate attention yake basi anapoteza nguvu na raslimali za MwanaHalisi. Kwa maana ni zaidi ya mwaka sasa anamwandika...
Changia hoja iliyopo mezani acha kujipitisha pitisha kama bwa.bwa. Mimi uwa sili masho.ga....Hivyo usipoteze muda wako kujitangaza kwangu. Hiyo biashara yako ipeleke Mombasa huko.
Ni lini Lowassa alimshtaki Kubenea? Au unataka kutuaminisha kuwa, kwa kuwa Lowassa akushtaki...basi kila ambacho Kubenea amewahi kuandika kuhusu Lowassa kuwa hasafishiki, kuwa ni fisadi mkuu ni ukweli mtupu? Si ndio maana yako na hiyo hoja yako ya kushtaki.
Kwahiyo tunakubali kuwa serikali ya sasa inatekeleza wajibu wake bila kuangalia itikadi za vyama? Si ndio? Basi inastaili kupongezwa!....Kwa kuwa ingeamua ikanyamazia tu hilo suala sijui mzee Sumaye angekimbilia wapi!?
Hii iwe somo kuwa serikali ya CCM haina chuki na upinzani....Bali ipo...
Msipoteze muda kutaja majina ya UKAWA kwenye nafasi ya uenyekiti wa PAC...ni kupoteza muda tu.
Ili mbunge wa upinzani (Uenyekiti wa Kamati ya PAC ni kwa wapinzani pekee huku umakamu uenyekiti ni kwa chama tawala - Hii ipo kikanuni) aweze kuwa mwenyekiti wa PAC sharti akubalike kwa spika...Sasa...
Ni kweli nimesoma....But just one paragraph na title tu. And immediately I found out it's not worth reading. Siwezi kusoma ujinga wote huo. Sasa pamoja na andiko lefu hivyo lakini hata comments 10 halina...huoni kuna ulakini hapo? Kubali umeandika pumba.
Ngoja ni comment comment walau nikupe...
Jamaa alikuwa mpiga debe mzuri sana wa UKAWA wakati wa kampeni. Sasa hivi anapumuliwa kisogoni huku anazungusha mikono tu. Hiyo ndio hulka ya UKAWA....Ni ubwa.ubwa mwanzo mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.